Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Usalama ilikuwa ya enzi za Mwalimu. Kwanza Tanganyika na Zanzibar zikaungana, nchi ikapitia changamoto ya seating President wa Zanzibar kuuwawa tena Rais wa kwanza, mara Jumbe akafungwa kifungo cha ndani.

Baadae tukaingia kwenye ujamaa jambo la kuchukizwa na Westerns. Pia tukasaidia harakati za ukombozi wa nchi za Afrika tukawachukiza hasa South Africa na Northern Rhodesia na Portugal. Hao wote wakawa maadui zetu na taasisi zao za usalama zikawa zinatutafuta hasahasa BOSS ya South Africa iliyokuwa nzuri sana ya level za kimataifa. Uko kote tukachomoka.

Bado kuna tishio la mapinduzi la kina Hans Pope. Labda ile mutiny iliyozimwa na Kambona ndio ilikuwa bahati ila mambo mengine ilikuwa ni counter-intelligence. Hatutokaa tuwe na usalama wa taifa bora kama kipindi kile, ashukuriwe hasa kizazi cha Emilio Mzena.
Siku hizi tunao akina "unanijua mimi ni nani" unashangaa nini kuona informers wa majirani. Hadi JWTZ wapo. Alafu cha ajabu sio kwamba hawajulikani wala tetesi hamna, tetesi zipo na taasisi ikitaka kuwa serious mbona wanakamatwa kwani wana maajabu gani. Ila kawaida ya mswahili ni kuwa na mapuuza
Neno zima.. .. !

Nadhani Kuna jeshi linatengenezwa na "wale "ndani jeshi. Taratibu na pole pole sana.. ...! Yule aliyechomoka Kama hakuna macho macho chomboni.. alinifanya nifikirie Mara nne..tatizo lipo
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Itakuwa hao ni wana usalama wa chakula huko nchini kwao
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Acha waje tufanye biashara ya mazao
 
Bijampola pale palikuwa na malaya wengi sana wa kinyarwanda pamoja na bar maids. Kahama kuna wanyarwanda wengi mno. lakini woote hao hawana madhara kwetu, ndio maana hata tulipoamua kupiga operation kimbunga, walistukizwa tu hata kabla hawajajiandaa wakaanza kupokea refugee toka Tanzania wenye asili ya kinyarwanda. nadhani hawatakuja kusahau kile kivumbi. na yale mang'ombe yao walikuwa wanauza sawa na bure, walipata hasara ya kutosha na wataishi na Tanzania kwa akili.

hivi, wewe kama tembo, kindege kikikaa mgongoni mwako na hakina hata uwezo wa kukuua kuna shida gani? si kitasaidia kuondoa kupe? kwa taarifa yako, wao wapo hapa na sisi tupo kule kwao, ngome drooo.
Hiyo kimbunga ilikuwa balaa, hata kama wangejua hawakuwa na la kufanya zaidi ya kuwa wapole tu
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Umesema ukweli kabisa!
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
attach huo uzi mkuu
 
Wanyarwanda wote niliowahi fahamiana nao huwa wanajikuta wao ndio mabingwa wa Afrika Mashariki na kujisifia nchi yao ya maana sana. Kuna huyo mmoja baba yake Msukuma na mama ndio Rwandese ila ajabu jamaa anajiita Mnyarwanda wakati Kisukuma anaongea na kilugha chao hajui.

Rwandese hasa Tutsi haijalishi kazaliwa Tanzania na baba yake kazaliwa Tanzania, haijalishi maisha yake yote hajawahi kanyaga Rwanda ila utaona anajiita Mnyarwanda na anaichukia Tanzania.
Tujiulize kwanini Banyamurenge wachukiwe wao tu wakati Congo kuna wahamiaji kutoka kila nchi jirani, kuna sababu za msingi.
Huyo itakuwa kaambiwa baba yake halisi sie huyo
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Kuna tatizo gani mfanyabishara mkubwa wa mazao kupewa cheo jeshini
 
Nchi kuna wageni kibao na wengine wako sekta nyeti,nchi imekuwa nyepesi sana

Ova

Hapana sio kweli. Na hicho ni kitu kisichoweza kukwepeka. Lazima kuoana, kuwa na mipaka karibu, kuwa na muingiliano wa kibiashara au kusoma etc kutafanya jamii iwe na watu wa aina, rangi, dini, makabila tofauti tofauti.
Kazi kubwa ni kuhakikisha wanaoajiriwa ni waadilifu na waaminifu. Hilo halijalishi mtu ametokea wapi. Ndio maana ukiangalia spies waliouza habari nyeti, wengi hawakuwa strangers. Ni watu wa nchi zao kabisa na walionekana safi.
 
Back
Top Bottom