Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Hii ndio bongo zuzu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Unaweza ukawa unatamba kwa majirani na kuringa kumbe upo uchii wallah..!
Dah...hizi ni dharau harif.
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Huku wetu wapo bize kuleta umbea wa dp world kwenye social media..
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Eti tuwe tunawaelewa..wewe na nani?,kama mmeenea njooni mtuchokoze
 
Yes hua wanafanya hivo na wako well organised, utawakuta songea mjini, mpitimbi, hanga mwanaster, litembo, makangawe, mbinga, tunduru, kitanda, mputa, mbambabey, utakula nao mbufu, mbelele na ugali wa muhogo vizuri wenzio wako kazini, kama ulisiki anasema amakuru, murakomeye, mumezemute, turaho alikua anaongea kinyarwanda ambapo lugha hiyo hufanana zaidi na kirundi, kihangaza, kiha na kinyankore na hao wote huelewana wakiongea inabaki tu mmoja huongea kwa kuvuta herufi na mwingine hufupisha herufi lakini wanaelewana vyema
mie hta hyu bongozozo simuelew elew
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680

Kwa hiyo anatujua in & out [emoji23]
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Waendelee ku spy hivyo hivyo ila wasiyakanyage wala wasiyapime kwani watayakuta ya shingo,, ukanda huu wa afrika mashariki na kati na huku chini ukimtoa msouth hakuna kima yoyote anaetutisha!!!
 
Usishangae hata risasi zilikua zinaingizwa kama mafuta ya kula, ndoo kubwakubwa za lita 20 , zinakua cleared kama mafuta yakula kumbe wazee wanasafirisha mizigo yao enzi hizo na mara nyingi ngoma zilisafirishwa kwa treni hadi isaka au kigoma ndio mizigo inasambazwa kwa wenyewe iwe waasi au vinginevo na agent aliekua anafanya clearance ya mizigo ya aina hiyo alilipwa pesa ndefu, dunia ina mambo sana hujiulizi waasi hupata wapi silaha nzito, na vifaa vya kijeshi?
Wewe unafikiri silaha za Rwanda zinapitia Bandarini, zinatua Kigali moja kwa moja.
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Kutokana na hali halisi iliyopo hapa nyumbani kwetu, Mimi naona "yafaa tuwaunge mkono".
 
Back
Top Bottom