Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu kwamba damu ni nzito kuliko Maji? Niliwahi kuona taarifa BBC jinsi warundi walifurahia Mpango kuwa VP na pia alifanya ziara walimpa heshima kubwa..Hakuna wakati Tanzania inatoa namba za NIDA kwa Warundi wengi kama wakati huu na sababu ni ile ile Makamu wa Rais anatokea Kigoma.
Maana yake ni kuwa Tanzania hasa Tanganyika haina kitu maalum cha kujivunia katika dunia ya leo. There is simply no national pride.Wanyarwanda wote niliowahi fahamiana nao huwa wanajikuta wao ndio mabingwa wa Afrika Mashariki na kujisifia nchi yao ya maana sana. Kuna huyo mmoja baba yake Msukuma na mama ndio Rwandese ila ajabu jamaa anajiita Mnyarwanda wakati Kisukuma anaongea na kilugha chao hajui.
Rwandese hasa Tutsi haijalishi kazaliwa Tanzania na baba yake kazaliwa Tanzania, haijalishi maisha yake yote hajawahi kanyaga Rwanda ila utaona anajiita Mnyarwanda na anaichukia Tanzania.
Tujiulize kwanini Banyamurenge wachukiwe wao tu wakati Congo kuna wahamiaji kutoka kila nchi jirani, kuna sababu za msingi.
Na Wana pesa na wanasapotiana,Mkoa wa Rukwa Mwenyekiti wa ccm Mkoa ni WA huko hukoChaguzi iliyopita 40% ya madiwani walioshinda kanda ya ziwa ni hao jamaa
Endelea na hao wapumbavu wenzako usiangaike na mimi.Wala sikufunzwa kutukana mkuu
"Utoto"Mbona bibi yangu ana miaka 100 na ni mahiri kutumia AK47 na anaweza kulenga shabaha kwa kunyuma huku akikimbia akiilaza juu chini bunduki begani.
Mwanajeshi ataingiaje nchi nyingine kama raia wa kawaida?.Kwani ni kosa kununua karanga na kupereka Rwanda?
Wakati huo Rwanda haina cha kujivunia ukiachana na mauaji ya kimbali. Rwanda ina kipi cha kujivunia kuzidi Tanzania ambacho ndio unadai wanatumia?Maana yake ni kuwa Tanzania hasa Tanganyika haina kitu maalum cha kujivunia katika dunia ya leo. There is simply no national pride.
Watu hujivunia nchi yenye alama kubwa za maendeleo; nchi inayotambulika kwa sifa maalum duniani. Ndio maana hata ndugu zetu wa zenji hujitambulisha zaidi kwa uraia wa Zanzibar kuliko wa Tanzania.
Kwani kaingia kufanya shughuli za kijeshi au za kiraia?Mwanajeshi ataingiaje nchi nyingine kama raia wa kawaida?.
Tafuta taarifa za Rwanda inavyofahamika duniani leo hii ulinganishe na za Tanzania, utaelewa.Wakati huo Rwanda haina cha kujivunia ukiachana na mauaji ya kimbali. Rwanda ina kipi cha kujivunia kuzidi Tanzania ambacho ndio unadai wanatumia?
Mwanajeshi ataingiaje nchi nyingine kama raia wa kawaida?.
Kwahiyo Rwanda inajivunia taarifa. Taarifa zenyewe zilizotrend Rwanda ni hizi za kutimua maofisa wa kijeshi na wa wizara ya ulinzi na usalama, ndio hizo mnajivunia ama namna ganiTafuta taarifa za Rwanda inavyofahamika duniani leo hii ulinganishe na za Tanzania, utaelewa.
Doohh!!! Kwamba Tz haifahamiki kuliko Rwanda!.Tafuta taarifa za Rwanda inavyofahamika duniani leo hii ulinganishe na za Tanzania, utaelewa.
Harakati za propaganda za Kagame kuinasibu Rwanda kimataifa si za mchezo. Huku kwetu siasa za ndani za madaraka na upigaji wa kidola (kleptocracy) ndizo kila kitu.Doohh!!! Kwamba Tz haifahamiki kuliko Rwanda!.
Maajab haya
Tz is very known compared to them all ila ni kwel TZ tuna viongozi wapumbavu haswaaaaHarakati za propaganda za Kagame kuinasibu Rwanda kimataifa si za mchezo. Huku kwetu siasa za ndani za madaraka na upigaji wa kidola (kleptocracy) ndizo kila kitu.
Tumewaachia Kenya na Zanzibar kuvuma kimataifa kupitia rasilimali zetu. Hatuna mkakati makini wa kitaifa wa kujiinua kimataifa. Kila anayeingia madarakani anakuja na yake kwa maslahi binafsi ya familia yake na genge lake basi.
TUMELALA KIASI HICHO???!!!...Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Zamani....sisi tuna maspy mpaka sauzi kwa madiba sembuse nchi jirani