Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Kuna warundi wengi wako ifakara, mtwara, chunya , walipewa kadi za kupigia kura na wengine namba za nida kwa kutoa pesa kidogo kwa watendaji wetu wa vijiji, wakaingia kama waha , na wako wanapiga kazi na washakua watanzania wanamiliki ardhi kama kawaida na niliwahi kusema hapa baadhi ya mbinu inayotumika kwa mrundi kusafiri kufika kiwandani kwa dangote kua kibarua au ifakara kufanya kazi za shamba ni kuvaa jezi za simba na yanga kwa zamani ukimvisha hivo iwe kibiti mashambani, rufiji, ikwiriri, utete kote huko unafika nae vizuri, sijui mamlaka ziliewa au vipi, kila unachoona naandika hapa nakielewa 100% , hata uende igawa pale kwa wauza maji utawakuta watu wanaitwa waha lakini ni warundi kabisa, sema kwakua hawana tishio labda la usalama lakini ingekua enzi za ujambazi mzito kama enzi ya igp mahita, ambush labda wangefanya, kibaya wanaoingia kinyemela wengine wana nia mbaya na wengine hawana nia mbaya
mrundi ni mtu wa chini sana huko kwenye jamii yao. Na bila Tanzania sijui wataenda wapi 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ni Tanzania pekee iwe hotel, guest, lodge unaweza ukaandika wewe ni mkenya au mrundi na usiulizwe passport wala namba ya hati yako ya kusafiria, na hiyo hutokea unaweza kulala hata bila kuandika jina na kama kesho ukaondoka vizuri hata ikitokea umefanya tukio uanchomoka tu, tuliwahi kusema hapa wahudumu lazima achukue passport aandike namba ya mgeni kwa mkono wake na sio kumpa mgeni ajiandikie tatizo wahudumu wengi hata kusoma hawajui na kuchukua rekodi za wageni wao kwa siku hawafanyi, halmashauri zitunge adhabu kali kwa watu hao ili mambo yawe vizuri na uhamiaji wafanye doria za mara kwa mara maana ni hatari Sana hii
 
Usalama ilikuwa ya enzi za Mwalimu. Kwanza Tanganyika na Zanzibar zikaungana, nchi ikapitia changamoto ya seating President wa Zanzibar kuuwawa tena Rais wa kwanza, mara Jumbe akafungwa kifungo cha ndani.

Baadae tukaingia kwenye ujamaa jambo la kuchukizwa na Westerns. Pia tukasaidia harakati za ukombozi wa nchi za Afrika tukawachukiza hasa South Africa na Northern Rhodesia na Portugal. Hao wote wakawa maadui zetu na taasisi zao za usalama zikawa zinatutafuta hasahasa BOSS ya South Africa iliyokuwa nzuri sana ya level za kimataifa. Uko kote tukachomoka.

Bado kuna tishio la mapinduzi la kina Hans Pope. Labda ile mutiny iliyozimwa na Kambona ndio ilikuwa bahati ila mambo mengine ilikuwa ni counter-intelligence. Hatutokaa tuwe na usalama wa taifa bora kama kipindi kile, ashukuriwe hasa kizazi cha Emilio Mzena.
Siku hizi tunao akina "unanijua mimi ni nani" unashangaa nini kuona informers wa majirani. Hadi JWTZ wapo. Alafu cha ajabu sio kwamba hawajulikani wala tetesi hamna, tetesi zipo na taasisi ikitaka kuwa serious mbona wanakamatwa kwani wana maajabu gani. Ila kawaida ya mswahili ni kuwa na mapuuza
hao informers wa rwanda, wangekuwa manguli kweli tungewajua kuwa ni mainformers? wale malaya wa bijampola mbona kitambo sana walishajulikana? watu wanapiga mzigo na siri hawatoi wala nini. ushetani tu.
 
Na Watzn wengi kama sio wote ni mazobe sana hakunaga kuulizana , upuuzi huu wa sijui Africa ni ndugu mara ni Moja akileta Yule Babu yenu.

Kuna mambo ya ajabu yanaendelea huko ndio maana kwenye kumbukumbu za uhuru ukiona wanavuosifiana wakati issue ndogo ndogo kama hizo hawazioni unasema basi ngoja nikae kimya
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Hata kwenye nchi zao watu wetu wapo. So ni kitu cha kawaida.
 
Ni sawa na CIA walivyo kila sehemu duniani.

Ni sawa na FSB walivyo kila sehemu

Ni sawa na MSS ilivyo kila nchi

Wala hatujakaa hata kua na double agent kama zangira, sawa tu au kupata mwekezaji mwenye asili ya rwanda kama yule prof wa sua aliyewafurusha wenyeji kwenye ardhi yao ni sawa wala hakuna shida, au kua na mganda ambae anaoa mluguru na kununua ardhi kubwa mgeta na kuanza kulima ni sawa lakini tunachosema ni usalama wetu uko sawa? Au hauko sawa?
 
Back
Top Bottom