Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

trust me, intelligensia yetu ipo juu yao mbali. intelijensi nguvu yake ni pesa tu, kule kule Rwanda kuna wanyarwanda wenye sura za kitusi kabisa ambao wanaipeleleza nchi yao wenyewe na kuleta taarifa hata kwetu, cha muhimu ni pesa tu. pia, ukiwa na maadui wengi nchini kwako jiandae kuwa na raia wengi watakaofanya intelijensia kwa ajili ya majirani zako. wapinzani wa kageme ni wengi mno hata wa kabila lake la kitusi. ukiongea nao chap wanakuwa wanakuletea taarifa wakidhani kuna siku ataondolewa ili waishi kwa raha. nchi yetu ipo vizuri.
We ndo umeongea Sasa,intelejensia ni pesa tu.ukiwa na pesa utanunua watu na taarifa zote uzitakazo utazipatq,ukisikia super power jua pesa yake inaongea,
 
We ndo umeongea Sasa,intelejensia ni pesa tu.ukiwa na pesa utanunua watu na taarifa zote uzitakazo utazipatq,ukisikia super power jua pesa yake inaongea,
hajui kama hata hapa Tanzania kuna raia kibao tu wengine wapo hadi serikalini ni maafisa ujasusi wa marekani. kuna idadi kubwa sana ya undercover wa kimarekani nje ya marekani. achilia hao wanaokuja kwenye NGOs, wapo raia kabisa wanafanya kazi ila wana mgao wao na serikali ya marekani ina bajeti kabisa. hadi kwenye makundi ya kigaidi kule kule, hata hamas mlemle ndani ya wapalestina wapo wapalestina wanaopokea mshahara kutoa siri kwa israel na marekani everyday na ni viongozi. hivyo hivyo na kwa machadema, ndo maana tunasema kina mwabukusi waanzishe chama kipya kwasababu hiki kilichopo mbowe naona kalamba asali/sukari.
 
Usalama ilikuwa ya enzi za Mwalimu. Kwanza Tanganyika na Zanzibar zikaungana, nchi ikapitia changamoto ya seating President wa Zanzibar kuuwawa tena Rais wa kwanza, mara Jumbe akafungwa kifungo cha ndani.

Baadae tukaingia kwenye ujamaa jambo la kuchukizwa na Westerns. Pia tukasaidia harakati za ukombozi wa nchi za Afrika tukawachukiza hasa South Africa na Northern Rhodesia na Portugal. Hao wote wakawa maadui zetu na taasisi zao za usalama zikawa zinatutafuta hasahasa BOSS ya South Africa iliyokuwa nzuri sana ya level za kimataifa. Uko kote tukachomoka.

Bado kuna tishio la mapinduzi la kina Hans Pope. Labda ile mutiny iliyozimwa na Kambona ndio ilikuwa bahati ila mambo mengine ilikuwa ni counter-intelligence. Hatutokaa tuwe na usalama wa taifa bora kama kipindi kile, ashukuriwe hasa kizazi cha Emilio Mzena.
Siku hizi tunao akina "unanijua mimi ni nani" unashangaa nini kuona informers wa majirani. Hadi JWTZ wapo. Alafu cha ajabu sio kwamba hawajulikani wala tetesi hamna, tetesi zipo na taasisi ikitaka kuwa serious mbona wanakamatwa kwani wana maajabu gani. Ila kawaida ya mswahili ni kuwa na mapuuza
Akivimba uso ndo anajua kaumia.
 
Kupata taafira za kijasusi ni moja,
Kuzichakata na kuzitafasiri taarifa za kijasusi ni mbili,
Kuzitendea kazi kiufasaha taarifa za kijasusi katika ngazi ya kijasusi ni tatu,
Kuzitendea kazi kiufasaha taarifa za kijasusi katika ngazi ya kisiasa na kiutawala ni nne.
 
hajui kama hata hapa Tanzania kuna raia kibao tu wengine wapo hadi serikalini ni maafisa ujasusi wa marekani. kuna idadi kubwa sana ya undercover wa kimarekani nje ya marekani. achilia hao wanaokuja kwenye NGOs, wapo raia kabisa wanafanya kazi ila wana mgao wao na serikali ya marekani ina bajeti kabisa. hadi kwenye makundi ya kigaidi kule kule, hata hamas mlemle ndani ya wapalestina wapo wapalestina wanaopokea mshahara kutoa siri kwa israel na marekani everyday na ni viongozi. hivyo hivyo na kwa machadema, ndo maana tunasema kina mwabukusi waanzishe chama kipya kwasababu hiki kilichopo mbowe naona kalamba asali/sukari.
It's all about money..
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Duuh.
Ya kweli hii?!
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Duh
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Anafanana kiaina na waziri wetu wa ulinzi na usalama.
 
Huku kwetu the so called maspy wanashinda manzese wanakunywa tu pombe na supu za utumbo wa mbuzi na kujisifia kuwa wao ni usalama.
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
Mwingine yupo Kilosa ananunua ufuta
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli

Unajuaje kama hana karataso za migration
 
Kuna inshomiree mmoja alisoma Highland secondary school naye nashangaa ana cheo kukubwa kwenye jeshi la hao jamaa.
 
Back
Top Bottom