Huyu Ahmed Ally amezidi sana kutudhalilisha sisi Yanga

Huyu Ahmed Ally amezidi sana kutudhalilisha sisi Yanga

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Inapaswa afungiwe. Huu ni udhalilishaji sana. Si sawa hata kidogo. Aache uhuni.

Screenshot_2024-09-12-21-41-07-557_com.instagram.android~2.jpg
 
Ahmed Ally anajiaibisha mwenyewe na Ukolo wake

Makolo wamejaa pumba tu sikuhizi, kufungwa wao, kugombana wao, kuzozana wao

5imba bhana 🤣🤣🤣🤣
 
mwisho wa siku tutajua nani mwenye huo uwazi hapo juu sisi wazee wa dozi kono la nyani au wao wazee wa bilioni20 za kununulia boxa na mchicha?
 
Ahmed Ally anajiaibisha mwenyewe na Ukolo wake

Makolo wamejaa pumba tu sikuhizi, kufungwa wao, kugombana wao, kuzozana wao

5imba bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaandikaa huku unaliaa na kamasi zinavujaaa, poleeeeee wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaandikaa huku unaliaa na kamasi zinavujaaa, poleeeeee wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nilie mimi au mlie ninyi wana 5imba? 🤣🤣🤣

Yaani nilie na makombe yote yapo ndani??? Hapa unavulyoandika ni kama unanitekenya tu nachekaa
 
Naona unajichekesha huku ukiwa na hasira 😛
Sasa hasira niwe nayo mimi Mfalme wa Makombe muache kuwa nayo ninyi 5imba? 🤣🤣🤣

Mnajidai kusahau sana eeh....we Kolo
 
Sasa mtu tangu aajiliwe hajawahi ona timu yake inabeba kombe atakua na utimamu wa akili?
 
Back
Top Bottom