Huyu Ahmed Ally amezidi sana kutudhalilisha sisi Yanga

Huyu Ahmed Ally amezidi sana kutudhalilisha sisi Yanga

Sasa hasira niwe nayo mimi Mfalme wa Makombe muache kuwa nayo ninyi 5imba? 🤣🤣🤣

Mnajidai kusahau sana eeh....we Kolo
Uliona mtu alivyokuwa amelipuka kwenye press?
 
YANGA idara ya HABARI ni ujinga mtupu...
MANARA pamoja na mapungufu yake asingfanya vichekesho hivyo
 
Back
Top Bottom