wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,334
- 1,722
😀😀😀Siasa za bavicha bwana , mmefulia sana kisiasa..mmebakia kukosoa hata picha..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Siasa za bavicha bwana , mmefulia sana kisiasa..mmebakia kukosoa hata picha..
Hata suti zake nyingi huwa naona ni oversize..pongezi gani mbona mikono imemezwa sasa
Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755
Tunafunga usiku wewe , usilete maneno!!Nowdays kila mtu anasema amefunga, hata mkiristo. Kwa nini!!
Hapo alikuwa anafanya uzinduzi wa hicho kiwandaHiki ni kiwanda kipya cha kanzu
hahaha ndio mkuuHapo alikuwa anafanya uzinduzi wa hicho kiwanda
tangu zamani amezoea kuvaa ovesize kwasasa naona atleastMkuu anafanya kazi, anatakiwa awe na mtu smart wakumdesignia nguo, mbona Trump mzee lakini anavaa vizuri jamani why yeye? Wasaidizi mnamuangusha mkuu kwa kweli yeye ni nembo ya nchi so let's not allow it to happen again
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3][emoji16][emoji2][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji23][emoji2] [emoji23][emoji23][emoji16]Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755
Halaf ni lile kanzu la kukakachaaa kam turubaiJe wewe hiyo picha unaionaje
![]()
Tatizo umeshindwa kutofautisha kati ya kanzu ya kihaya na kiislamu.Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755