Huyu aliyemshonea Rais wetu hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana

Huyu aliyemshonea Rais wetu hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana

Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755
10303738_1520372571618032_7580939711082362451_n (1).jpg



imenibidi nicheke kwanguvu zangu zoote yalaaaag
 
Mkuu anafanya kazi, anatakiwa awe na mtu smart wakumdesignia nguo, mbona Trump mzee lakini anavaa vizuri jamani why yeye? Wasaidizi mnamuangusha mkuu kwa kweli yeye ni nembo ya nchi so let's not allow it to happen again
 
Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3][emoji16][emoji2][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji23][emoji2] [emoji23][emoji23][emoji16]
 
Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755
Tatizo umeshindwa kutofautisha kati ya kanzu ya kihaya na kiislamu.
Kwa kiislamu hiyo kanzu ndio mwake kabisa,akitokea mwanamke ambaye si haramu kwako kumuoa unamsalimia kwa kufunika kiganja na mkono wa kanzu ili asikutengue.Ndio maana wanaojua kanzu wamekaa kimya
Kanzu sio sawa na suti kamanda
 
Back
Top Bottom