Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unacheka kimoyomoyoSiasa za bavicha bwana , mmefulia sana kisiasa..mmebakia kukosoa hata picha..
Kweli wewe ni strokeSiasa za bavicha bwana , mmefulia sana kisiasa..mmebakia kukosoa hata picha..
Aisee. Labda atakulia humo, nakumbuka zamani tulikua tunanunuliwa nguo kubwa kuliko miili yetu ili tukulie humo.
View attachment 528836
Hahahaaaaaa kwahio mzee ukweli na uwazi kaiacha miaka zaid ya kumi jamaa kaona isiwe tabusiyo kwamba amevuta tu humo makulu aliyokuwa anavaa nzee nkapa kweli!
Too low for you!Mbona unapaniki kwa kumpongeza huyu mbunifu wa Raisi imekuwa kosa?