Huyu aliyemshonea Rais wetu hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana

Mshamba alama zake ni nyingi sn.......tangu ln jogoo la shamba likawika mujini
 
Sitashangaa vijana wa CCM wakitaka kuandamana kumpongeza makomeo kuwa ana vaa kwa kupendeza
 
kwa hiyo mkuu unataka kusema ******** ni muislamu kasoro modevu sio
 
A
Sitashangaa vijana wa CCM wakitaka kuandamana kumpongeza makomeo kuwa ana vaa kwa kupendeza
Akili za vijana wa lumumba kama kifurushi cha tigo jaza ujazwe!
 
Watu mnasifu mpaka pamba woga gani huo?
Kwangu mshonaji kakosea mikono imezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…