Amani kwako kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache poda atumie mmea...Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea!
Hata kama umedanganya, umefanya kwa staha[emoji3]Amani kwako kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache poda atumie mmea...
Inasemekana huyo Voda milionea alikua kaka wa kitaa wa washkaji Langa na Jaymo. Sasa baada ya tetesi Langa anakula unga ndo Jaymo akaandika huo mstari kwenye ngoma yake kumtaka Voda milionea amwambie Langa aachane na poda (unga) atumie mmea (bangi). Lkn Langa naye akamjibu Jaymo "heshima kwako kaka Voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea [emoji3].
Huyo jamaa mwenye kuitwa Voda milionea kuna story alikua anafanya kazi shirika la Vodacom miaka ile matangazo ya Voda milionea yalikua mengi jamaa alikua anatupia sana tisheti za matangazo ya Voda milionea ndo wakampa hilo jina.
Sina hakika kama nimepatia, nakaribisha kukosolewa
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mi niliskia jamaa alishinda lile shindano la voda milionea.....na nikasikia kuwa ni 'pusha' anasukuma......Ila Sina uhakika na hayoAmani kwako kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache poda atumie mmea...
Inasemekana huyo Voda milionea alikua kaka wa kitaa wa washkaji Langa na Jaymo. Sasa baada ya tetesi Langa anakula unga ndo Jaymo akaandika huo mstari kwenye ngoma yake kumtaka Voda milionea amwambie Langa aachane na poda (unga) atumie mmea (bangi). Lkn Langa naye akamjibu Jaymo "heshima kwako kaka Voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea [emoji3].
Huyo jamaa mwenye kuitwa Voda milionea kuna story alikua anafanya kazi shirika la Vodacom miaka ile matangazo ya Voda milionea yalikua mengi jamaa alikua anatupia sana tisheti za matangazo ya Voda milionea ndo wakampa hilo jina.
Sina hakika kama nimepatia, nakaribisha kukosolewa
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Umeona eeeh jamaa kajiongeza vizuri sana wajanja wachache sana ndio watamshtukia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata kama umedanganya, umefanya kwa staha[emoji3]
hivi bado ipo king'okoWatoto wa kingoko hao
Ova
Upo sahihi mkuu na hiyo story ilishaletwa humu jamviniAmani kwako kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache poda atumie mmea...
Inasemekana huyo Voda milionea alikua kaka wa kitaa wa washkaji Langa na Jaymo. Sasa baada ya tetesi Langa anakula unga ndo Jaymo akaandika huo mstari kwenye ngoma yake kumtaka Voda milionea amwambie Langa aachane na poda (unga) atumie mmea (bangi). Lkn Langa naye akamjibu Jaymo "heshima kwako kaka Voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea [emoji3].
Huyo jamaa mwenye kuitwa Voda milionea kuna story alikua anafanya kazi shirika la Vodacom miaka ile matangazo ya Voda milionea yalikua mengi jamaa alikua anatupia sana tisheti za matangazo ya Voda milionea ndo wakampa hilo jina.
Sina hakika kama nimepatia, nakaribisha kukosolewa
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Hahahaaa King'oko kwenye kontena nini watoto wa kishua waliopindahivi bado ipo king'oko
Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo wako aache poda ale mmea 😁Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea!
Hilo dongo alikuwa anapewa L(rip)Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo wako aache poda ale mmea [emoji16]
hahaaaaaa[emoji3] hivi na mtoto wa kikwete alikuwepoHahahaaa King'oko kwenye kontena nini watoto wa kishua waliopinda
Nani Miraji? Sio kwamba alikuwa Kikosi? Akazinguana nao Pina akatoa diss nyingi sana kwa jamaahahaaaaaa[emoji3] hivi na mtoto wa kikwete alikuwepo
yap!! pina alikuwa na beef na kingoko pia nadhani miraji aliondoka kikosi akaenda kingo'oko kwa watoto wenzake wa kishuaNani Miraji? Sio kwamba alikuwa Kikosi? Akazinguana nao Pina akatoa diss nyingi sana kwa jamaa
huko ndio kwao na kina babuu wa kitaa?.....kuna wimbo wake amepataja niliusikia zamani.Watoto wa kingoko hao
Ova