GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
naskia langa naye alikuwa mtoto wa kishua aliyepinda,kuna ukweli?Hahahaaa King'oko kwenye kontena nini watoto wa kishua waliopinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naskia langa naye alikuwa mtoto wa kishua aliyepinda,kuna ukweli?Hahahaaa King'oko kwenye kontena nini watoto wa kishua waliopinda
Nadhani itakua"Kimbia"huko ndio kwao na kina babuu wa kitaa?.....kuna wimbo wake amepataja niliusikia zamani.
nahisi itakuwa kimbia au kuna wimbo anaongea maneno flani ya kufoka alafu anaitikia "babuu wa kitaaa"...anataja jamaica street.Nadhani itakua"Kimbia"
Ya jay mo sikuwahi kuiskia,ila hiyo ya langa nilipata kuisikia.....kwenye msiba wa ngwear mchizi mox aliwahi kusikika akilaumu kuwa huyu kaka voda alichapisha tisheti za maombolezo bila idhini ya wana familia ya marehemu ngwear akawa anaziuza.Amani kwako kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache poda atumie mmea...
Inasemekana huyo Voda milionea alikua kaka wa kitaa wa washkaji Langa na Jaymo. Sasa baada ya tetesi Langa anakula unga ndo Jaymo akaandika huo mstari kwenye ngoma yake kumtaka Voda milionea amwambie Langa aachane na poda (unga) atumie mmea (bangi). Lkn Langa naye akamjibu Jaymo "heshima kwako kaka Voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea [emoji3].
Huyo jamaa mwenye kuitwa Voda milionea kuna story alikua anafanya kazi shirika la Vodacom miaka ile matangazo ya Voda milionea yalikua mengi jamaa alikua anatupia sana tisheti za matangazo ya Voda milionea ndo wakampa hilo jina.
Sina hakika kama nimepatia, nakaribisha kukosolewa
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ndio kuna ukwelinaskia langa naye alikuwa mtoto wa kishua aliyepinda,kuna ukweli?
Mirjacky😂😂hahaaaaaa[emoji3] hivi na mtoto wa kikwete alikuwepo
Yap yap yani ambae bado huwa namuona ona mitaa ile nikienda kutembea ni babuu tuhuko ndio kwao na kina babuu wa kitaa?.....kuna wimbo wake amepataja niliusikia zamani.
enzi za Billicanas...siku hizi club za mziki kama zumekufa hiviYap yap yani ambae bado huwa namuona ona mitaa ile nikienda kutembea ni babuu tu
Kuna wimbo mmoja wa dis la polis matusi matupu humo enzi zile Bills tunapanda nalo(Nilikua Chawa wa King'oko[emoji23][emoji23])
1.Ngoma ya Jaymo inaitwa "Jipange"Ya jay mo sikuwahi kuiskia,ila hiyo ya langa nilipata kuisikia.....kwenye msiba wa ngwear mchizi mox aliwahi kusikika akilaumu kuwa huyu kaka voda alichapisha tisheti za maombolezo bila idhini ya wana familia ya marehemu ngwear akawa anaziuza.
Wivu huu[emoji3][emoji3][emoji3]Wanaume wa dar wanajadili umbeya
Inategemea dar ipi kuwa specific mkuuWanaume wa dar wanajadili umbeya
Hao wanaojadiliwa unawajua?Wanaume wa dar wanajadili umbeya
RIP Langa1.Ngoma ya Jaymo inaitwa "Jipange"
2. Ngoma ya Langa inaitwa Gangster
3.Pia Langa baadae alikuja kutoa ngoma nyingine inaitwa "Kifo, Jela, Taasisi", kwenye hiyo ngoma Langa ameandika tena... Amani kwako kaka Voda milionea, mwambie Mo situmii tena poda wala sili mmea.
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mrangi lazima utakuwa unamjua Kaka voda milionea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watoto wa kingoko hao
Ova
sawa...mkuu nimekupata vyema,langa na jay mo nilikuwa na waelewa sana.1.Ngoma ya Jaymo inaitwa "Jipange"
2. Ngoma ya Langa inaitwa Gangster
3.Pia Langa baadae alikuja kutoa ngoma nyingine inaitwa "Kifo, Jela, Taasisi", kwenye hiyo ngoma Langa ameandika tena... Amani kwako kaka Voda milionea, mwambie Mo situmii tena poda wala sili mmea.
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
wakishua haswanaskia langa naye alikuwa mtoto wa kishua aliyepinda,kuna ukweli?