Huyu amani kwa Kaka Voda milionea ndo nani? Huko Dar es Salaam

Huyu amani kwa Kaka Voda milionea ndo nani? Huko Dar es Salaam

Yap yap yani ambae bado huwa namuona ona mitaa ile nikienda kutembea ni babuu tu

Kuna wimbo mmoja wa dis la polis matusi matupu humo enzi zile Bills tunapanda nalo(Nilikua Chawa wa King'oko😂😂)
Babuu hakudumu sana kwenye game alikuwa na miondoko ya hiphop za kigumu kama sura yake.....kwenye kimbia aliua pamoja na langa.
 
yap!! pina alikuwa na beef na kingoko pia nadhani miraji aliondoka kikosi akaenda kingo'oko kwa watoto wenzake wa kishua
Miraji alikuwa anakuja sana block41 kna wakati fulani alikuw na issue fulani alikaa sana block 41,na mwanae sana block41 alikuwa mwana mmja anaitwa chis
Badaye akajuana na pina si unajua pina alikuwa anapenda sana watimbilisha watoto wa kishua,
Alafu tukienda knyama kulikuwa na maskani sasa ya kna jaymo, mox na watoto wa huko ya graveyard ....aise maisha ya kitambo syo kama sasa

Ova
 
huko ndio kwao na kina babuu wa kitaa?.....kuna wimbo wake amepataja niliusikia zamani.
Babu si alikuwa anakaa nyuma nyuma ya tmj
Sema alikuwa anajisogeza kwa watoto wa regent
Sema pale uwanjani wakikutana walikuwa kama mixer wote watoto wa mikochen na regent

Ova
 
Ya jay mo sikuwahi kuiskia,ila hiyo ya langa nilipata kuisikia.....kwenye msiba wa ngwear mchizi mox aliwahi kusikika akilaumu kuwa huyu kaka voda alichapisha tisheti za maombolezo bila idhini ya wana familia ya marehemu ngwear akawa anaziuza.
Hivi dagma yule wa 120 yupo

Ova
 
Ndio kuna ukweli
Wakina kileo wale wako vizuri sana
Kuna wakati mzee kileo wa pr camp bar
Alimchkua langa awe anazuga pale
Langa nlikuwa naonana naye sana pale
Mwana alikuwa na kichwa kizuri sana
Alitafutiwaga mzg hadi barick akazingua
Sema ndy vile tu
Ila jamaa ukiongea naye kichwa kilikuwa vzr


Ova
 
ukiona wana hihop wana mtaja taja mtu ujue ndo anawapa stimu..hua namsikia pia someone kapachino(sina uhakika kama jina nimelipatia)
Ngwair alikuwa anapenda sana kmtaja mwana mmja anaitwa capadona
Jamaa alikuwa push fulani sinza wa ndum
Hahahah....

Ova
 
Miraji alikuwa anakuja sana block41 kna wakati fulani alikuw na issue fulani alikaa sana block 41,na mwanae sana block41 alikuwa mwana mmja anaitwa chis
Badaye akajuana na pina si unajua pina alikuwa anapenda sana watimbilisha watoto wa kishua,
Alafu tukienda knyama kulikuwa na maskani sasa ya kna jaymo, mox na watoto wa huko ya graveyard ....aise maisha ya kitambo syo kama sasa

Ova
hahahaha enzi hizo hamna smartphone
 
Babu si alikuwa anakaa nyuma nyuma ya tmj
Sema alikuwa anajisogeza kwa watoto wa regent
Sema pale uwanjani wakikutana walikuwa kama mixer wote watoto wa mikochen na regent

Ova
sawa sawa.
 
Back
Top Bottom