Huyu bwana ni mhaya wa muleba kwao ni iangilo,siku Ile Ile aliamishiwa kisiwa Cha ukelewe kwa cheo kile kile alivoripoti alitoa barua ya kuacha kazi kwa heshima akakubaliwa na hivi Sasa ni Raia mwema hasiye na bugudha.Jiwe limebondeka jamaa bado yuko anadunda.. Mungu huyu...[emoji848][emoji2827]
Hakufutwa kazi bali alihamishiwa visiwa vya Ukerewe Kama siyo Ukara.Jiwe limebondeka jamaa bado yuko anadunda.. Mungu huyu...[emoji848][emoji2827]
Akili za hawa jamaa wanazijua wao.ati kifo ni adhabu toka kwa Mungu akifariki mtu wasiyempenda. Vipi kuhusu Regia Mtema, Ndesamburo na Yule mwana Jf handsome alikuwa anagombea ubunge Tanga akafariki kwa ajari 2015 nao ni adhabu toka Mungu?Mungu huyo huyo pia ndiye huwa anaruhusu watoto wachanga wafe siku ya kuzaliwa.
Msiwe watumwa kifikra kwa siasa zenu uchwara hadi kumsingizia MUNGU kila kitu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Nilimsikiliza huyo mfungwa aise dunia ni ngumu. Jamaa alikuwa na kesi ya kulawiti aliyosingiziwa/kutengenezewa na hawala yake akiwa Dar Es Salaam baada ya kumkopesha laki tatu aendeshee biashara yake jamaa alianza kumsumbua amrudishie hela yake ndipo aliposhirikiana na watu fulani jamaa akapewa hiyo kesi.Kalikenya aliyemchoma kwa mkuu alishaachiwa kutoka Butimba so yuko mtaani sasa Afande naye hana kazi ana'haso' kitaa sijui nini kitatokea wakikutana,,
Linapokuja swala la kuishi ndo utashangaa maajabu ya huyo MUNGU.Acha kujificha kwa watoto wachanga. Kwa kiburi alichokuwa nacho, na kujimwabafy sidhani Kama hata Mungu anpendelea aendelee kuishi.
Wanawake ni nyoka, hasa wanaponogeshwa na wanaume wengine nje ya ndoa.Nilimsikiliza huyo mfungwa aise dunia ni ngumu. Jamaa alikuwa na kesi ya kulawiti aliyosingiziwa/kutengenezewa na hawala yake akiwa Dar Es Salaam baada ya kumkopesha laki tatu aendeshee biashara yake jamaa alianza kumsumbua amrudishie hela yake ndipo aliposhirikiana na watu fulani jamaa akapewa hiyo kesi.
Ila huyo jamaa ana confidence sana, mama Samia kaja kumtoa majuzi
Huyu si ndiyo yule jambazi sugu anayeishi kwenye pori la Biharamulo
Mapuuzi sana hayo mawatu, akina Deo Filikunjombe na Mtikila nao ni adhabu?Akili za hawa jamaa wanazijua wao.ati kifo ni adhabu toka kwa Mungu akifariki mtu wasiyempenda. Vipi kuhusu Regia Mtema, Ndesamburo na Yule mwana Jf handsome alikuwa anagombea ubunge Tanga akafariki kwa ajari 2015 nao ni adhabu toka Mungu?
"KUDINGIZIA" [emoji848][emoji3526][emoji2960]Rejea neno KUDINGIZIA
Tupe maoni yakoJamani tuzungumzie udhaifu wa timu yetu ya taifa stars badala ya mtu kama huyu aliyeisha samehewa na anapata mshahala wa haki yake.
Huo ndio ujasiriHuyu bwana ni mhaya wa muleba kwao ni iangilo,siku Ile Ile aliamishiwa kisiwa Cha ukelewe kwa cheo kile kile alivoripoti alitoa barua ya kuacha kazi kwa heshima akakubaliwa na hivi Sasa ni Raia mwema hasiye na bugudha.
Wapi nimesema kafutwa kaziHakufutwa kazi bali alihamishiwa visiwa vya Ukerewe Kama siyo Ukara.
Tuache kuzusha mambo, hakuwahi kufutwa kazi!
Typing error