Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Negative impact ya ARV niNa kingine!! Hakuna kipimo kinacho onyesha Virusi vya ukimwi na Wala hakijulikani..
Ila wanaangalia kinga so usiamini hata vipimo vyenyewe
Usinitishe mkuu. Ila kunasku nitaelezea nimepitia pito kubwa hii 2022Yesuuuuu!!! Aise inaelkea mrembo ana mbususu tamuu
Unajua kuna aina ngapi za HIV???Do you know the number of gay men who are HIV+ in Europe, USA, and Australia?
Pole mkuu mbususu haitamuacha mwanaume salamaUsinitishe mkuu. Ila kunasku nitaelezea nimepitia pito kubwa hii 2022
Ulisema hakuna Ukimwi Ulaya.Unajua kuna aina ngapi za HIV???
Unajua kuna HIV ya Africa na huko ULAYA???
AU UFAHAMU SKY eclat??
Pole mkuu kwanza shukuru MUNGU hajakuambukiza ππ½ππ½ππ½hofu niliyonayo ni kubwa sana wakuu. Maisha yana siri kubwa sana na binadamu tuna mengi sana rohoni mwetu
Hahaha! Dada! Nijibu kwanza unafahamu Hilo?Ulisema hakuna Ukimwi Ulaya.
Asante mkuu, nimepanga badilisha njia zangu na kutoa sadaka ya shukrani.. maisha yanasiri kubwa.Pole mkuu kwanza shukuru MUNGU hajakuambukiza [emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Poh acha kudanganya watu. ukiupata na ukasusa kutumia dawa humalizi hata 6monthUkimwi sio ugonjwa..
Ukimiwi ni upungufu wa kings mwilini.. unaosababishwa na mtindo mbovu wa maisha... Stress! Kutofanya mazoezi... Na utatibu upungufu wa kinga kwa kula vizuri kufanya mazoezi na mtindo mzuri wa maisha...
Ukimwi ni biashara kupitia Arvs
Usisubutu kunywa Arv kwa huo ndio ukimwi... Population reduction strategies ni kuuwa watu kwa Arvs.
Yani unaaanza kujiua pale utakapo Anza kutumia Arvs .
Hakuna ukimiwi German, USA Italy nk.. ila Africa ni biashara
Ipo wapi corona?????
Ipo wa malaria??
Biashara!!!
Russian Boy
Las Vegas.
Hilo ni balaa zito sana mkuu, bila elimu hali itazidi kuwa mbaya, kuna warembo ambao huwezi wadhania.Pole mkuu mbususu haitamuacha mwanaume salama
Umesha athirika kifrikra juu ya ukimwi..Poh acha kudanganya watu. ukiupata na ukasusa kutumia dawa humalizi hata 6month
unatesa sana rafiki angu sikushauri
Amina sana ni ugonjwa mbaya sana kwakweli japo utatia dawa ila ina miside effect mingAsante mkuu, nimepanga badilisha njia zangu na kutoa sadaka ya shukrani.. maisha yanasiri kubwa.
Asa ww unaropoka tu watu tumeuguza ndugu zetu acha tu rafiki angu ππ½ππ½Umesha athirika kifrikra juu ya ukimwi..
Sawa! Nashukuru piaAsa ww unaropoka tu watu tumeuguza ndugu zetu acha tu rafiki angu [emoji1431][emoji1431]
Shukuru ww n mzima na chukua tahadhari
Unachanganyikiwa nini sasa. Kuna magonjwa mazito kuliko huo. Kama unaogopa kumeza dawa kila siku hata wagonjwa wa sukari na pressure wanameza daily. Hofu ndio inaweza kuondoa uhai wako wala sio huo ukimwi unao uogopa.mimi sio wa kuongea peke yangu wakuu, kuna muda nakuwa kama nimechanganyikiwa kutokana na hofu.
Mkuu asante kwa ushauri na ushuhuda wako.. Mimi kuna vitu sijaelezea na majanga aliyoniletea mengine kabla sijajua kuna siku nitaelezea.Sikia huu USHUHUDA ""Nilidate na mwanamke miaka mi3 kumbe alikua na ukimwi""
Kwa miaka mi3 tulifanya mengii kitandani ila baada ya kugundua nilienda kupima nikakutwa sijahathirika na mpaka leo Niko safi (-ve)
Kwahiyo Mzee baba tulia...
#YNWA