Huyu binti ameniletea balaa

Huyu binti ameniletea balaa

Na kingine!! Hakuna kipimo kinacho onyesha Virusi vya ukimwi na Wala hakijulikani..

Ila wanaangalia kinga so usiamini hata vipimo vyenyewe
Negative impact ya ARV ni
Pressure
Kisukari
Kansa
Na haya magonjwa ndio yanaongoza kuuwa watu

Kafa kwa pressure au kisukari ile dhana ya ukimwi imepotea

Wamefanikiwa kuuwa watu
 
Pole mkuu kwanza shukuru MUNGU hajakuambukiza [emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Asante mkuu, nimepanga badilisha njia zangu na kutoa sadaka ya shukrani.. maisha yanasiri kubwa.
 
Ukimwi sio ugonjwa..
Ukimiwi ni upungufu wa kings mwilini.. unaosababishwa na mtindo mbovu wa maisha... Stress! Kutofanya mazoezi... Na utatibu upungufu wa kinga kwa kula vizuri kufanya mazoezi na mtindo mzuri wa maisha...

Ukimwi ni biashara kupitia Arvs
Usisubutu kunywa Arv kwa huo ndio ukimwi... Population reduction strategies ni kuuwa watu kwa Arvs.

Yani unaaanza kujiua pale utakapo Anza kutumia Arvs .


Hakuna ukimiwi German, USA Italy nk.. ila Africa ni biashara

Ipo wapi corona?????
Ipo wa malaria??

Biashara!!!
Russian Boy
Las Vegas.
Poh acha kudanganya watu. ukiupata na ukasusa kutumia dawa humalizi hata 6month

unatesa sana rafiki angu sikushauri
 
Sikia huu USHUHUDA ""Nilidate na mwanamke miaka mi3 kumbe alikua na ukimwi""

Kwa miaka mi3 tulifanya mengii kitandani ila baada ya kugundua nilienda kupima nikakutwa sijahathirika na mpaka leo Niko safi (-ve)

Kwahiyo Mzee baba tulia...

#YNWA
 
mimi sio wa kuongea peke yangu wakuu, kuna muda nakuwa kama nimechanganyikiwa kutokana na hofu.
Unachanganyikiwa nini sasa. Kuna magonjwa mazito kuliko huo. Kama unaogopa kumeza dawa kila siku hata wagonjwa wa sukari na pressure wanameza daily. Hofu ndio inaweza kuondoa uhai wako wala sio huo ukimwi unao uogopa.
 
Sikiliza kwa makini mkuu [emoji16]

Naona ushapaniki siku 40 zinatosha kuonyesha kama maambukizi unayo au hauna ingekuwa vyema zaidi ungepima hospitali zaidi kile kipimo ambacho wanatoa damu kwenye mkono katikati ya upande wa msuli na kiwiko sijamaanisha cha kwanza hakifai la hasha ni kwa uhakika zaidi kukuondolea hofu na

hicho ukikutwa hauna nenda kafanye sherehe achana na mambo ya miezi mitatu na wala wasikutishe hawajui chochote humu


Mwanaume kufanya mapenzi na muathirika sio rahisi kupata kama unavyofikiria la sivyo dunia nzima tungekuwa nao

Unaupata pale ambapo utatokea mchubuko na mchubuko unakuja pale ambapo utakamia gemu trust me na mchubuko ukiupata utajua tu na ukila tigo huwezi pona lazima upate lakini kama ni mstaarab unamuandaa fresh au kibao kimoja tu huwezi pata

Na kama dada anatumia arv viral load yake inakuwa ndogo hawezi kukuambukiza

Katika watu ambao wangetakiwa wasisitize matumizi ya kinga ni wanawake wao kupata ni kitendo cha kugusa tu kutokana na maumbile yao
 
Sikia huu USHUHUDA ""Nilidate na mwanamke miaka mi3 kumbe alikua na ukimwi""

Kwa miaka mi3 tulifanya mengii kitandani ila baada ya kugundua nilienda kupima nikakutwa sijahathirika na mpaka leo Niko safi (-ve)

Kwahiyo Mzee baba tulia...

#YNWA
Mkuu asante kwa ushauri na ushuhuda wako.. Mimi kuna vitu sijaelezea na majanga aliyoniletea mengine kabla sijajua kuna siku nitaelezea.
 
Back
Top Bottom