Huyu binti ananichanganya

Huyu binti ananichanganya

Nenda nae kwa swaga za kilokole, mala j,pili mwambie akualike kanisani kwao. Taratibu ataelewa tu.
 
Hao mbona rahisi sana sema wewe ulikuwa una haraka kupitiliza
 
soma dogo,,, unaitesa roho yako bure.....wazazi wako wana imani na wewe......
 
sawa lakini kuwa na mwenza sio vibaya na kumchunguza
nani atakufaa sio mchezo
Sasa kwa umri wako hutakiwi kulazimisha wala kuchanganywa na hizo issue. Kula shule maisha baada ya shule ukishapata fedha hayo mambo yatakuwa mepesi sana tofauti na sasa yanavyokuwia magumu simply because time is not right. Komaa na shule soma kwa bidii sana baadae utaona mambo yalivyo rahisi
 
Kuna dada mmoja wa kilokole, tunasoma nae hapa chuoni, nimetokea kumpenda tena sana. Lakini huyu dada hanielewi kabisa, yeye mambo ya kidunia hajui hata kidogo. Mitandao ya kijamii huwezi kumkuta japo ana simu inayoweza kuaccess hiyo mitandao.

Valentine hajui hata maana yake nini, sio mtoto ni first year wa chuo kikubwa Tz. Ukweli nampenda na yeye alikuwa ashaanza kunizoea lakini sasa mtoto kabadilika hapendi kupokea simu yangu, hata sms zangu hajibu. Ukweli nampenda sio kwa ajili ya kumchezea ila anaonekana ana sifa ambazo napenda mke ambaye ntamuoa awe nazo.

Nifanyeje ili niweze kumpata huyu mlokole kama issue ya dini me ni mkatoliki.
Huyo binti ni super.Mungu alimuonyesha nia yako mbaya kwake ndio maana akakata mawasiliano na wewe.Kama unataka kumpata be saved kiukweli.Baada ya kuokoka don't show your motive quickly atakustukia.Uki-pretend God will show her.Mlokole haoi au haolewi na mtu ambae hajaokoka kwa kuwa Shetani anaweza kumtumia mtu huyo kumrudisha nyuma.
 
Kuna dada mmoja wa kilokole, tunasoma nae hapa chuoni, nimetokea kumpenda tena sana. Lakini huyu dada hanielewi kabisa, yeye mambo ya kidunia hajui hata kidogo. Mitandao ya kijamii huwezi kumkuta japo ana simu inayoweza kuaccess hiyo mitandao.

Valentine hajui hata maana yake nini, sio mtoto ni first year wa chuo kikubwa Tz. Ukweli nampenda na yeye alikuwa ashaanza kunizoea lakini sasa mtoto kabadilika hapendi kupokea simu yangu, hata sms zangu hajibu. Ukweli nampenda sio kwa ajili ya kumchezea ila anaonekana ana sifa ambazo napenda mke ambaye ntamuoa awe nazo.

Nifanyeje ili niweze kumpata huyu mlokole kama issue ya dini me ni mkatoliki.
Akili huna bro
 
Huu uzi wa zamani kidogo mlishaoana na mna familia au ndege alikukimbia
 
Back
Top Bottom