Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu huna akiliWamedhalilishaje hapo mkuu. Kwa kuremba au
Pumbavu zako! Huoni Maneno yaliandikwa hapo kwa kutumia fedha yetu kuwa hayana staha!?Wamedhalilishaje hapo mkuu. Kwa kuremba au
Mi swali langu liko pale pale, hivi kwann mtu mwenye hela akitumia pesa yake maskini huwa anaoumia na anaona kama tajiri anachezea hela?
Sidhani kama tajiri serious anaweza kufanya ujinga namna hii, hakuna watu wanao uthamini hela kama tajiri.Wamedhalilishaje hapo mkuu. Kwa kuremba au
Mi swali langu liko pale pale, hivi kwann mtu mwenye hela akitumia pesa yake maskini huwa anaoumia na anaona kama tajiri anachezea hela?
Vijana wa hovyo hao..Pumbavu zako! Huoni Maneno yaliandikwa hapo kwa kutumia fedha yetu kuwa hayana staha!?
Niliiona Twitter (X) hii clip nikajiuliza maswali mengi sana!
Sahihi kabisaSidhani kama tajiri serious anaweza kufanya ujinga namna hii, hakuna watu wanao uthamini hela kama tajiri.
🤣🤣Ukiwaza kesho hauna nauli ya kukutoa ndani hapo lazma tu uwe na makasiriko
Kutamani kuwa jinsia nyingine ni upungufu wa kitu kichwani....Kuna jamaa humu ndani aliwahi kuleta uzi anatamani angezaliwa mwanamke. Nadhami akiona hii video ndio atamtukana Mungu kabisa kwa kumuumba kidume
tafuta HELA mkuu.Maandalizi makubwa halafu unakuta show ni zero kabisa.
May Weather boxer sio tajiri? We unalingana nae kiuwezo?Sidhani kama tajiri serious anaweza kufanya ujinga namna hii, hakuna watu wanao uthamini hela kama tajiri.
Si umtaje tu bwana Mpwayungu Village a.k.a mwalimu wa msingi😊😊, kwa kweli alishangaza wengiKuna jamaa humu ndani aliwahi kuleta uzi anatamani angezaliwa mwanamke. Nadhami akiona hii video ndio atamtukana Mungu kabisa kwa kumuumba kidume.