Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimsahau jina. Alicia aibu sana ushoga umemjaaSi umtaje tu bwana Mpwayungu Village a.k.a mwalimu wa msingi😊😊, kwa kweli alishangaza wengi
Kwamba isiyozidi Milioni ""Sio hela nyingi?""Alafu sio hela nyingi kihivyo, roughly haizidi milioni 1.
Ila to that point, huyo demu yupo radhi kutoa vyote hapo ili mwamba ainjoi hela yake.
Wanaume tuendelee kutafuta hela
Shida sio kuonesha hizo pesa ila kilichoandikwa kupitia hzo pesa jau saana
Au zimezidi saana ni 1M miez 2 mbele analia njaa karogwa michongo hapatiKizaz cha sahvi hawana akili,upeo mdogo,hawana exposure sishangai
Wakifanya hivyo
Ehe haya turudi kwenye topic ,hapo ukizikusanya pesa zote sana sana zitafika laki tano
Ova
Nimeona wengi wanavyoshangaa humu utasema ni hela nyingi sana.Kwamba isiyozidi Milioni ""Sio hela nyingi?""
#YNWA
Umaskini mbaya sanaWamedhalilishaje hapo mkuu. Kwa kuremba au
Mi swali langu liko pale pale, hivi kwann mtu mwenye hela akitumia pesa yake maskini huwa anaoumia na anaona kama tajiri anachezea hela?
Kwahiyo hata kama Nina Bil 1, then mil 1 si nyingi?Nimeona wengi wanavyoshangaa humu utasema ni hela nyingi sana.
Milioni 1 ni nyingi lakini sio nyingi sana kwa walio nazo.
Zingatia hitimisho langu pale chini.
Tuendelee kutafuta hela Mkuu
Kumbuka Mkuu hautazikwa na helaKwahiyo hata kama Nina Bil 1, then mil 1 si nyingi?
#YNWA
HazifikiKizaz cha sahvi hawana akili,upeo mdogo,hawana exposure sishangai
Wakifanya hivyo
Ehe haya turudi kwenye topic ,hapo ukizikusanya pesa zote sana sana zitafika laki tano
Ova
Kumbuka Mkuu hautazikwa na hela
Tafuta hela then upe moyo faraja.
Kama kumwagilia moyo mwagilia, kama hobby ya kusafiri Nchi hadi Nchi safiri
Kama mpenzi wa Nyuchi, make sure you have some
Azitafutie wapi mkuu mpe muongozoTafuta pesa kijana
Ni nyingi MkuuKwahiyo Mil 1 ni nyingi au sio nyingi?
#YNWA
Best commentsKumbuka Mkuu hautazikwa na hela
Tafuta hela then upe moyo faraja.
Kama kumwagilia moyo mwagilia, kama hobby ya kusafiri Nchi hadi Nchi safiri
Kama mpenzi wa Nyuchi, make sure you have some
Hivi X a.k.a twitter najiungaje mkuu. Naona mambo ymekuwa mengi saivPumbavu zako! Huoni Maneno yaliandikwa hapo kwa kutumia fedha yetu kuwa hayana staha!?
Niliiona Twitter (X) hii clip nikajiuliza maswali mengi sana!