Huyu binti atanifanya niwe masikini

Kama mkandarasi mwenye mradi wa bilioni anafanya kazi kwa mali kauli; inashindikana vipi kwa maeneo mengine kutoa huduma ya namna hiyo? Tujifunze kusoma makala au kutembelea maeneo mbalimbali, ili kupata ufahamu.
Umejitetea moja, hiyo ya pili bado.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ulifeli mwanzon inaonekana uliingia kwa gia ya kuwa una mihela

Na yeye anatembea na beat la Kwanza uliloingia nalo kuwa upo financially stable

Mueleze ukwel tu kuwa maisha yako n tia maj tia maji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku vichocheo vikiondolewa kwenye mwili wa mwanaume, taasisi ya ndoa itakufa siku hiyo hiyo.
Heri yetu sisi tuliosoma shule za boys. Tulikuwa tunawekewa 'mafuta ya taa' kwenye maharage kwa hiyo miili 'haitusumbui' [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha usanii.......Yaani mgonjwa aondoke hospital bila kulipa matibabu,Demu aende club peke ake,hizo pesa wew unatoa wapi nyingi kiasi hicho wakati uandishi wako unaonyesha wew Ni wa level zetu tu.
 
Acha usanii.......Yaani mgonjwa aondoke hospital bila kulipa matibabu,Demu aende club peke ake,hizo pesa wew unatoa wapi nyingi kiasi hicho wakati uandishi wako unaonyesha wew Ni wa level zetu tu.
Tafuta hela ili uwe unawaza 'positive', dunia ya leo sio wote wanalipa 'cash'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…