Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana ana haraka na maisha😅Wanawake wa siku hizi hawana upendo
Usihangaike kutafuta vipepeo
Tengeneza bustani yako vipepeo watakuja wenyewe
Elewa neno vipepeo na bustani
A woman should not feel that you are lucky to have her rather, let her know that she is lucky to have you
Aisee umenikumbusha na mie enzi zangu nipo chuo yaani full udomo zege🤣🤣🤣🤣Shikamooni wakubwa,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.
Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.
Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Indeed a woman shuld feel lucky to have u. Hawa viumbe wangese sana usipokuwa mtata...they think they doing u a favour kukupa mbususu.Wanawake wa siku hizi hawana upendo
Usihangaike kutafuta vipepeo
Tengeneza bustani yako vipepeo watakuja wenyewe
Elewa neno vipepeo na bustani
A woman should not feel that you are lucky to have her rather, let her know that she is lucky to have you
Pumbav zingatia masomo! Nilikupeleka huko kufanya ngono? Hamsikii kama waajiri wanalalamika kwamba vijana mnaotoka vyuoni hamna mnachojua, yaani kichwani mko weupe kumbe mnazingatia ngono tu? Narudia tena zingatia masomo!Shikamooni wakubwa,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.
Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.
Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
NAKAZIAIndeed a woman shuld feel lucky to have u. Hawa viumbe wangese sana usipokuwa mtata...they think they doing u a favour kukupa mbususu.
Ushauri mzuri na wa kufanyiwa utekelezajiAchana na mapenzi soma kwanza. Age of 22 unahangaika nae wa nini. Maliza shule,saka mafanikio, watajileta wenyewe
Jamaa kashawekwa friend zone bado hajitambui yupo wapi.Urafiki sio lazima muwe wapenzi. Huyo hakupendi kimapenzi ukilazimisha utageuka team kataa ndoa
Nimewahi kulifikiria hilo kwamba labda ameniweka friendzone ila nachoshangaa ni namna anavyonitreat ni tofauti sana marafiki zake wa kiume,wengi anawapaga stori hadi za wanaume walio wahi kumtongoza ila kwangu mimi hajawahi kunipa izo stori ata siku moja ni ananiheshim kwa kiasi flani ila tu nashangaa kwann hataki kuweka wazi kama naye ananipenda au lahJamaa kashawekwa friend zone bado hajitambui yupo wapi.
Kufeli siwezi broo,huyu ndo msichana wangu wa kwanza kumfikiria tangu nianze masomo yangu ni hivi tu nashndwa kumtoa kwenye akiliKomaa na shule...acha mapenzi utafeki dogooo
Asante kwa ushauriWanawake wa siku hizi hawana upendo
Usihangaike kutafuta vipepeo
Tengeneza bustani yako vipepeo watakuja wenyewe
Elewa neno vipepeo na bustani
A woman should not feel that you are lucky to have her rather, let her know that she is lucky to have you
MmhUnamhandle mwanamke ambaye hajakupa mbususu, huo ni ufara mdogo wangu
You are a king
Kumbuka kuna wana wakimpigia simu moja tu anaenda kuwavulia chupi
Ya nini umhandle malaya?
Kwani mwanamke anaweza akamkubalia mtu bila kupewa jibu la Ndiyo?Mkuu Mwanamke Ukishamtongoza Hutakiwi Kusubiri Jibu Utawakosa Wengi.
Kama Ulivyofunguka Imetosha Hapo Endelea Na Mambo Mengine Kama Angekuwa Hajabali Angekwambia, Huyo Tayari Kaeleweka.
Ila Mkuu Shule Unazingatia Maana Wahenga Wanasema Elimu Ni Bahari Umeza Wasioozingatia.
Ndiyo.Mmh
Kwani mwanamke anaweza akamkubalia mtu bila kupewa jibu la Ndiyo?
Mmh
Kwani mwanamke anaweza akamkubalia mtu bila kupewa jibu la Ndiyo?
Kwao wana maisha mazuri kidogo,nkisema nimpe hela ni uongo maana mimi ndo huwa nakula hela zake sana na ata akihitaji hela nkimpa bas lazima atanilipa baadayeMtumie 300,000/-