Huyu binti simuelewi. Naombeni ushauri

Huyu binti simuelewi. Naombeni ushauri

Kwao wana maisha mazuri kidogo,nkisema nimpe hela ni uongo maana mimi ndo huwa nakula hela zake sana na ata akihitaji hela nkimpa bas lazima atanilipa baadaye
Kwa hiyo unataka kusema ukimpa 300,000/- ataikataa?
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Dogo embu soma kwanza mademu wapo
 
Kazana na masomo acha mambo ya kipumbavu, sisi wazazi wako tunahangaika ili usome wewe unashughulika na mapenzi. PUMBAVU
 
Uko kuhandle unakosema ni kupi mkuu?usikute ni kumsaidia pochi pale mnapotoka chuo.Ku handle ni kuwa unakata pochi ndefu
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Wanawake mmekutana hapo ni shida. Mpaka atokee mwanaume aje awachape nao hasa... Ndo mtakaa sawa
 
Kufeli siwezi broo,huyu ndo msichana wangu wa kwanza kumfikiria tangu nianze masomo yangu ni hivi tu nashndwa kumtoa kwenye akili
Utafeliiii shauri yako....mapenzi kitovu cha uzembe
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Mkuu huyo ni wako tayari, wewe panga siku umtoe out mkapige story zenu nje ya chuo kabisa. Mrudi usiku na usiku huo mtembee kwa kushikana mikono baaaasi
 
Utafeliiii shauri yako....mapenzi kitovu cha uzembe
Hapana bro mi wala siwazi mapenzi sanaa namhitaji tu kwamba ata mola akijaalia aje awe mke wangu...sitamani nije nifeli kisa mapenzi,ila kwa huyu nna malengo naye kwenye akili ila shida ni kumpata tu ndo imekuwa kazi
 
Mkuu huyo ni wako tayari, wewe panga siku umtoe out mkapige story zenu nje ya chuo kabisa. Mrudi usiku na usiku huo mtembee kwa kushikana mikono baaaasi
Nashukuru bro kwa ushauri wako,ntalijaribu hili nione kama litamshawishi
 
Watu mnaomshauri eti asome aachane na mapenzi yatamchanganya, hivi mko serious au bado mmekariri story za walimu wenu kuwa mapenzi na masomo haviendi. Mara walikuwa wanawaambia mwanafunzi huruhusiwi kufanya mapenzi. Nyie nyie nyie serious kweli mtu mzima 22 years old akae bila mpenzi kisa walimu waliwakaririsha hivyo. Au mnataka apige PUNYETO, halafu akija kuomba humu ushauri wa kupungukiwa nguvu za kiume muanze kumkejeli na kumzodoa.

Tuseme ukweli, hivi members wa humu mlianza mapenzi mkiwa na miaka mingapi na mlikuwa mnafanya nini kiasi cha kumsisitiza mwenzenu asome aachane na mapenzi. Hivi mnajua sasa hivi mapenzi a.k.a ngono ni basic need kwa mwanadamu yeyote aliepevuka!!

Mi nasema fanya unachoona ni sahihi kwako. For the age of 22 you are an adult to choose and decide on your own way of life.
 
Back
Top Bottom