Huyu binti simuelewi. Naombeni ushauri

Huyu binti simuelewi. Naombeni ushauri

Hapana bro mi wala siwazi mapenzi sanaa namhitaji tu kwamba ata mola akijaalia aje awe mke wangu...sitamani nije nifeli kisa mapenzi,ila kwa huyu nna malengo naye kwenye akili ila shida ni kumpata tu ndo imekuwa kazi
DOGO SKIA CHUO ASILIMIA 99.999999% AKUNA MAPENZI YA KWELI FIKIRIA KWANI UKO ALIKO TOKA ANA MTU WE KAMA UTAWEZA PIGA SEPA UTAKUJA NISHUKURU BAADAE ALAFU SOMA MBWAAA WEWEEE MAISHA MTAANI MAGUMU
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Kama kaka yako nakushauri uachane na mapenzi. Kaa soma maliza chuo kwa amani. Huyo unayeona unampenda hata akikukubalia siku akipata mwanaume mwenye kazi yake na gari atakuacha mchana kweupe uanze kulia kama mtoto mwisho udisco.

Narudia tena hata akikukubalia kwa sasa huna hela zaidi ya kaboom ambako na yeye anapata. Siku akitokewa na mtu mwenye pesa atakuacha mchana kweupe maana wewe ni maskini usiye na pesa.

Soma kwanza mdogo wangu.
 
Hapana bro mi wala siwazi mapenzi sanaa namhitaji tu kwamba ata mola akijaalia aje awe mke wangu...sitamani nije nifeli kisa mapenzi,ila kwa huyu nna malengo naye kwenye akili ila shida ni kumpata tu ndo imekuwa kazi
Usimalize maneno kaka....safari yako bado ndefu sanaa....jifunze pata uzoefu mke wako awe mdogo kwako miaka 3 kwenda juu isizidi 8...standard...huyo sio wako....trust my words tumepita wote huko....mkimaliza chuo utashangaa...walio ready made wanamuoa upfront baada kumaliza chuo.....utadata....sikia tunayokwambia
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Umejaribu mtumia muamala mkuu ukaona anasemaje?
 
Pumbav zingatia masomo! Nilikupeleka huko kufanya ngono? Hamsikii kama waajiri wanalalamika kwamba vijana mnaotoka vyuoni hamna mnachojua, yaani kichwani mko weupe kumbe mnazingatia ngono tu? Narudia tena zingatia masomo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Anataka muwe marafiki tu.

Anaogopa kukwambia hakutaki mutaharibu urafiki wenu.

Huenda pia kuna vitu bado vinamtatiza kutoa jibu la moja kwa moja.
 
Nimewahi kulifikiria hilo kwamba labda ameniweka friendzone ila nachoshangaa ni namna anavyonitreat ni tofauti sana marafiki zake wa kiume,wengi anawapaga stori hadi za wanaume walio wahi kumtongoza ila kwangu mimi hajawahi kunipa izo stori ata siku moja ni ananiheshim kwa kiasi flani ila tu nashangaa kwann hataki kuweka wazi kama naye ananipenda au lah
Anakuonea huruma hataki kukuumiza.
 
Kwao wana maisha mazuri kidogo,nkisema nimpe hela ni uongo maana mimi ndo huwa nakula hela zake sana na ata akihitaji hela nkimpa bas lazima atanilipa baadaye
Basi wewe sio level zake .

Sasa hata akikukubalia utampa nini wakati wewe ndiye ombaomba kwake.
 
Shikamooni wakubwa,

Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.

Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.

Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
😂
 
Watu mnaomshauri eti asome aachane na mapenzi yatamchanganya, hivi mko serious au bado mmekariri story za walimu wenu kuwa mapenzi na masomo haviendi. Mara walikuwa wanawaambia mwanafunzi huruhusiwi kufanya mapenzi. Nyie nyie nyie serious kweli mtu mzima 22 years old akae bila mpenzi kisa walimu waliwakaririsha hivyo. Au mnataka apige PUNYETO, halafu akija kuomba humu ushauri wa kupungukiwa nguvu za kiume muanze kumkejeli na kumzodoa.

Tuseme ukweli, hivi members wa humu mlianza mapenzi mkiwa na miaka mingapi na mlikuwa mnafanya nini kiasi cha kumsisitiza mwenzenu asome aachane na mapenzi. Hivi mnajua sasa hivi mapenzi a.k.a ngono ni basic need kwa mwanadamu yeyote aliepevuka!!

Mi nasema fanya unachoona ni sahihi kwako. For the age of 22 you are an adult to choose and decide on your own way of life.
Regardless no matter what... lazima kuna sehemu ataegemea na atashindwa kufanya maamuzi sahihi hicho ndio ninachoona mimi sio kwamba tunamkejeli
 
Kama kaka yako nakushauri uachane na mapenzi. Kaa soma maliza chuo kwa amani. Huyo unayeona unampenda hata akikukubalia siku akipata mwanaume mwenye kazi yake na gari atakuacha mchana kweupe uanze kulia kama mtoto mwisho udisco.

Narudia tena hata akikukubalia kwa sasa huna hela zaidi ya kaboom ambako na yeye anapata. Siku akitokewa na mtu mwenye pesa atakuacha mchana kweupe maana wewe ni maskini usiye na pesa.

Soma kwanza mdogo wangu.
Kwahiyo akisoma ndo atakuwa na pesa? Asipojihusisha na mapenzi halafu akaja kujihisisha ukubwani miaka 30 huko, akivurunda, makuja kimsema kuwa karuka stage, mbona nyie mlijihusisha mapema? Nyie vipi?
 
Back
Top Bottom