Huyu Brother "K" wa futuhi mashati yake anapataga wapi?

Huyu Brother "K" wa futuhi mashati yake anapataga wapi?

Hahahahahhaaa huwa naiangaliaga kwa bahati mbaya yaani si mpenzi wa hiyo komedi ila ikinikuta naitizama huyo braza K ananiachaga hoi hehehehehee enewei usiwaze sana ni msukuma huyo yaani hapo anasukuma sukuma tuu ili mambo yaende. ..... kila kitu yeye anasukuma tuu.... mkokoteni anasukuma, toroli anasukuma, ng'ombe anasukuma. ... mwanamke anasukuma iiiggghh ndo hivyo hivyo hata hayo masharti anasukuma tuu muonee huruma tuu shemeji yangu huyo.

Ila kwa majidai na majivuno sasaa looh sijui wanaiga wahaya. .......

Igoloo.
Ni muha wa kigoma....

Ntondoo
 
Watu wa mikoani mnaangalia vipindi vya ajabu
Punguzeni ushamba!

Hicho kipindi kwa MTU Wa dar unaweza kuangalia mwanzo mwisho na usicheke lkn kwa Wa mikoani naona huyo ndio kama Davies Chappele au Trevor Noah wao. Kweli ushamba mzigo! Wameshazoea kuona vichekesho vya ng'ombe na kondoo wakigombana sasa wakiona mtu kwenye TV kavaa nguo na kupiga kelele wao kwao ni zaidi ya comedy. Sijui tuwasaidieje washamba hawa
 
Hicho kipindi kwa MTU Wa dar unaweza kuangalia mwanzo mwisho na usicheke lkn kwa Wa mikoani naona huyo ndio kama Davies Chappele au Trevor Noah wao. Kweli ushamba mzigo! Wameshazoea kuona vichekesho vya ng'ombe na kondoo wakigombana sasa wakiona mtu kwenye TV kavaa nguo na kupiga kelele wao kwao ni zaidi ya comedy. Sijui tuwasaidieje washamba hawa
Bado mtu anamawazo ya kwamba kuishi dar ndo ujanja? Utakuwa wakuja wewe
 
Hahahahahhaaa huwa naiangaliaga kwa bahati mbaya yaani si mpenzi wa hiyo komedi ila ikinikuta naitizama huyo braza K ananiachaga hoi hehehehehee enewei usiwaze sana ni msukuma huyo yaani hapo anasukuma sukuma tuu ili mambo yaende. ..... kila kitu yeye anasukuma tuu.... mkokoteni anasukuma, toroli anasukuma, ng'ombe anasukuma. ... mwanamke anasukuma iiiggghh ndo hivyo hivyo hata hayo masharti anasukuma tuu muonee huruma tuu shemeji yangu huyo.

Ila kwa majidai na majivuno sasaa looh sijui wanaiga wahaya. .......

Igoloo.
Hapo kwenye kusukuma Mwanamke hapo!
 
Watu wa mikoani mnaangalia vipindi vya ajabu
Punguzeni ushamba!

Cha kushangaza mtu wa dar wewe sio wote wenye fikra za kuona dar ni peponi mnongozwa na watu wa mikoani Magufuli na makonda wakiwaambia mlale saa sita mchana hamna wa kupindua

Hiyo ndo shida ya kuzaliwa mkoan ukifanikiwa kuingia dar na wewe unajiona mzalamo wakat ni mhehe.
 
Back
Top Bottom