Huyu Bwana Achukue Fomu za Ubunge 2025

Huyu Bwana Achukue Fomu za Ubunge 2025

Mbona Unamtisha Bwana Robert?
Hayo ya PM mbona ya kawaida tu.
...halafu kumbe ndio hivi...tumo wote au wewe haumo?
naku nukuu

Usimkandamize mwenzio na kumwogopesha kuchukua Fomu.
Mkuu huwa nakuheshimu sana, usinifanye nikupuuze. Let the kid be....
 
Twende moja kwa moja kwenye Mada

Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Acha maneno mengi! Tuanze kuchangisha hela za kampeni. Mimi nitakuwa mweka hazina.
 
Huyo jamaa kashashindwa kabla hata ya kuanza kufikiria kugombea. Ana threads za kuwashambulia wapiga kura muhimu sana ambao ni wanawake. Kwa mfano uzi wake wa tarehe 2/01/2023 katuasa tuwakatae wanawake kitu ambacho kisiasa ni kosa kubwa. Wanawake ndo wapiga kura waaminifu. Robert Heriel hata akigombea na Suphian wa CCM ataangushwa kirahisi sana.
 
..kila Jambo lina wakati wake, hakuna jambo linalotokea kwa Bahati mbaya.

Bwana Rober Heriel anajituma, ni mtanashati na ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kudadavua yaliyo mazuri na mabaya katika Jamii.!!!

...achukue Fomu tu atuwakilishe kule kwenye mustakabhali wa Nchi na Taifa.
...kwani kupoteza wakati wake au Akili zake humu JamiiForums ambamo kuna watu wa kila Aina wenye hulka, tabia, tamaduni, hila, maadili, rangi ya ngozi, wazee na viijana kwa kuweka uani yanayofaa na kuutokufaa kwa Vijana na Wazee , kwa Mtanzania na Mwafrika ni nikujiharibia mambo yake tu.

Bwana huyu Achukue Fomu 2025.
Mie namkubali.
 
Achukue fomu 'ZA' ubunge,......yaani zaidi ya moja. Hapo ndipo ulipojificha utani wa thread hii kama hamjaelewa!
 
Mkuu,
Chama gani lakini?

Tunamchangia za Fomu, hatuwezi kumlazimisha Chama.

Unacho Chama chochote unachopendekeza kitamfaa?
[emoji3] mkuu mimi ni CHADEMA so let me reserve my comment!
 
Chawa on air
giphy.gif
 
Huyo jamaa kashashindwa kabla hata ya kuanza kufikiria kugombea. Ana threads za kuwashambulia wapiga kura muhimu sana ambao ni wanawake. Kwa mfano uzi wake wa tarehe 2/01/2023 katuasa tuwakatae wanawake kitu ambacho kisiasa ni kosa kubwa. Wanawake ndo wapiga kura waaminifu. Robert Heriel hata akigombea na Suphian wa CCM ataangushwa kirahisi sana.
Mama Karibu,
Nafikiri haumtendei haki kumfananisha na Wanasiasa, hata ukimsoma huwa kama hapendi Siasa...

...Lakini kwa vile anavyoshusha makala, kwa vile anavyoshusha mada na Majadiliano yake....inaonekana anafaa Bungeni na labda atengenezewe Wizara ya Nchi, Mshauri(bila ubunge hapati)
akapambanishwe/akapambane na Ndugu Bashe na Wengine Bungeni akomae vizuri aive... naona kutakuwa na mijadala Chanya....Ndio maana nimempendekeza,

...nampendekeza Achukue Fomu 2025 badala ya kupoteza mda wake, kuwahutubia wale humu JF anaowaita "Wajinga" aende akafanye mambo kwa mustakabhali wa Nchi.

Chama achague mwenyewe, CHADEMA, ACT-Wazalendo, CuF au CCM hata akitaka Umoja Party. Tutamchangia humu.
 
Twende moja kwa moja kwenye Mada

Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Wewe ni mpumbavu
 
Achukue fomu 'ZA' ubunge,......yaani zaidi ya moja. Hapo ndipo ulipojificha utani wa thread hii kama hamjaelewa!
Mkuu, WhoWeBe,
Hakuna utani hapo, ni Lugha.
Kwani sijui ni Chama gani kitampendeza kujiunga nacho...
ndio maana nimeandika Za...

.Za Ubunge wa Vyama au sio.
Ahsante kwa kuliona hilo
 
Waandishi wazuri na hao mnaoita wenye akili huwa sio waongeaji wazuri na Ni watu strict and so hawafai kuwa Viongozi/Wanasiasa Bali wataalamu tuu
 
Twende moja kwa moja kwenye Mada

Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
CCM ina hazina!
 
Huyo jamaa kashashindwa kabla hata ya kuanza kufikiria kugombea. Ana threads za kuwashambulia wapiga kura muhimu sana ambao ni wanawake. Kwa mfano uzi wake wa tarehe 2/01/2023 katuasa tuwakatae wanawake kitu ambacho kisiasa ni kosa kubwa. Wanawake ndo wapiga kura waaminifu. Robert Heriel hata akigombea na Suphian wa CCM ataangushwa kirahisi sana.
Huwa anawadharau watu wasio na elimu nk na ndio maana nasema siasa haiwafai watu dizaini yake
 
Acha maneno mengi! Tuanze kuchangisha hela za kampeni. Mimi nitakuwa mweka hazina.
Mkuu Tate Mkuu,

Huu ni Mchakato, Kwanza akubali pendekezo achague Chama, mwenyewe. Halafu tujadiliane-ad-hoc

Nikumbushe baadae uwekwe kwenye list.
 
Back
Top Bottom