Huyu Bwana Achukue Fomu za Ubunge 2025

Huyu Bwana Achukue Fomu za Ubunge 2025

Naona hivyo. Huyu Bwana Robert Heriel, kwa maandiko yake yeye kama mtu wa saikologia lakini, amejikita kwenye Siasa, zaidi ya hao uliowataja.. Anasemekana anapenda mambo ya Jamii, hivyo
Atafaa Bungeni! Yupo Ki Bashe, Ki Sugu alafu anapenda mambo ya Kina Maria Sarungi. Kombo hiyo Bungeni Vipi Mtu mmoja na kombo hizo.

Weka CV yake, Unayo?
🤣🤣🤣Hizo ni drama jaribu kuangalia maendeleo yake na mchango kweny jamii yake ...ishi nae kwanza ndo utamjua.
 
Wakuu, kwani hana hata Wasifu na Picha zinazoambatana?
 
Twende moja kwa moja kwenye Mada

Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Wewe
1. Mkewe
2. ID yake nyingine?
 
🤣🤣🤣Hizo ni drama jaribu kuangalia maendeleo yake na mchango kweny jamii yake ...ishi nae kwanza ndo utamjua.
Kwa maana hiyo Unamjua lakini humjui?
Drama ya nini Ndugu.
Aidha unamjua au humjui. Tunahabarishana hapa.

Mada inajieleza tosha.
 
Chizi Maarifa,
Wewe ni Msomi, umesoma mada, lakini unaleta utani.

...maarifa yanakukimbia.

Ahsante kwa kuchangia uchizi
 
Pendekezo lako nakubaliana nalo kwa asilimia kubwa na akichanga karata zake vizuri atashinda ili akaibebe taswari ya vijana wachache wenye maarifa makubwa.Kuhusu chama yeye achague mwenyewe maana sisi tunaangalia mtu na si chama,ila kungekuwa na mgombea binafsi ningemshauri afanye hivyo.

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Pendekezo lako nakubaliana nalo kwa asilimia kubwa na akichanga karata zake vizuri atashinda ili akaibebe taswari ya vijana wachache wenye maarifa makubwa.Kuhusu chama yeye achague mwenyewe maana sisi tunaangalia mtu na si chama,ila kungekuwa na mgombea binafsi ningemshauri afanye hivyo.

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha mbali, lakini kwa sababu zisizoweza kuzuilika...nitaji stahi

Kuh: Kuchagua kwa Sura.

Wasifu wake ungekuwepo hapa na mapicha picha.
 
Kumbe huyu bwana ni Haramia anayetumiwa na CCM!??

Nasema hivi baada ya kuona barua yake ya Wazi kwa Mh. Tundu Lissu

Nimetapelika na mimi!
 
Ningependa Kurudisha pendekezo.
I rescind my unresearched commendation.
 
Back
Top Bottom