SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
- Thread starter
-
- #41
Sunk nawe? wapi hapo uliposema watu Dizaini yake hawafai? Mbona Wanasiasa ndivyo walivyo....unajizimisha Data?Huwa anawadharau watu wasio na elimu nk na ndio maana nasema siasa haiwafai watu dizaini yake
Ume koti comment namba 2.Sunk nawe? wapi hapo uliposema watu Dizaini yake hawafai?
Anafaa wapi..? Mie naona mnataka kumdhulumu nyota yake.
Haya basi tugange mbele
Mtoto wa ShuleCCM ina hazina!
Napenda kutofautiana,Ume koti comment namba 2.
Hakuna Cha kuzulumu nyota,Nina hakika hawezi jieleza vizuri jukwaani Ile kiushawishi.
Yeye ni CCM. Hivyo ni hazina kwa chama chetu.Mtoto wa Shule
Unamaanisha CCM ina hazina huko hakumfai au..sielewi...
Fafanua tu
Usipende kusifu sana mwanaume mwenzio...ulichoandika ni ujinga mtupuTwende moja kwa moja kwenye Mada
Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Kupewa italeta hisia kuwa anapendelewa.Mi nashauri apewe ukuu wa wilaya apambane nayo kwanza maana anaonyeshea ni mtu wa vitendo na mifano halisi.Ubunge tumshauri wakili P.Mayala asikate tamaa ili 2025 arudi ulingoni tena maana ameshaiva vya kutosha.
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Jamaa anajionaga smart Sana 😁 😁 alaf dunia watu kama hao huwa haiwapi chance ya kuchanua hata ufanyeje ... Yeye aendelee kuwa motivator tuuHuwa anawadharau watu wasio na elimu nk na ndio maana nasema siasa haiwafai watu dizaini yake
Accumen Mo,Kakimbia uchagani kwao ndo aje kugombea Dar unaumwa nn?? Aende kwao kwanza angebaki kule angekuwa mlevi.
Hafai kuwa mbunge huyo. Kuna watu wana vipaji vya kuandika ila uongozi hawawezi. Heriel yupo group moja na kina Malisa Godlisten na Yeriko, ambao ukisoma maandishi yao ni wazuri mno. Ukiwapa Mic hawana confidence kabisa.Mama Karibu,
Nafikiri haumtendei haki kumfananisha na Wanasiasa, hata ukimsoma huwa kama hapendi Siasa...
...Lakini kwa vile anavyoshusha makala, kwa vile anavyoshusha mada na Majadiliano yake....inaonekana anafaa Bungeni na labda atengenezewe Wizara ya Nchi, Mshauri(bila ubunge hapati)
akapambanishwe/akapambane na Ndugu Bashe na Wengine Bungeni akomae vizuri aive... naona kutakuwa na mijadala Chanya....Ndio maana nimempendekeza,
...nampendekeza Achukue Fomu 2025 badala ya kupoteza mda wake, kuwahutubia wale humu JF anaowaita "Wajinga" aende akafanye mambo kwa mustakabhali wa Nchi.
Chama achague mwenyewe, CHADEMA, ACT-Wazalendo, CuF au CCM hata akitaka Umoja Party. Tutamchangia humu.
Yuko kama Malisa Godlisten ambaye kwa kuandika ni hatari ila zile siasa za nje ya keyboard ni mweupe hadi ndani ya chama chake.Huwa anawadharau watu wasio na elimu nk na ndio maana nasema siasa haiwafai watu dizaini yake
Ngoja nikuambie hao jamaa wapo kibao wakina malisa G ,sijui Ole Mushi wana kelele kibao mitandaoni kuteka attention ya watu ila kiuhalisia uwezo wao wa kawaida ni vile wanataka fursa fulani ..Accumen Mo,
Sijui nianze wapi, hatahivyo ulitaka kuniambia "Naumwa"? Ulitaka kueleza kadamnasi ni Mchaga na amekimbia kwao? Ni mlevi?
eniweyi haijalishi, utasomeka.
Kikubwa hapa ni hilo Pendekezo langu?
Huyu bwana achukue fomu za Ubunge 2025 au Vinginevyo abaki humu JF?
...na Chama gani?
Naona hivyo. Huyu Bwana Robert Heriel, kwa maandiko yake yeye kama mtu wa saikologia lakini, amejikita kwenye Siasa, zaidi ya hao uliowataja.. Anasemekana anapenda mambo ya Jamii, hivyoNgoja nikuambie hao jamaa wapo kibao wakina malisa G ,sijui Ole Mushi wana kelele kibao mitandaoni kuteka attention ya watu ila kiuhalisia uwezo wao wa kawaida ni vile wanataka fursa fulani ..
Tambua wanakosoa baadhi kwa vile wamekosa fursa ya kuwa kweny system wakiingia watakaa kimya ..Njaa mbaya sana.