dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #81
Kwani huyo ni nani? Mbona sijawahi kumsikia kabla? Au ubusy na mamiradi yangu ndo unafanya mambo yanipite?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyo ni nani? Mbona sijawahi kumsikia kabla? Au ubusy na mamiradi yangu ndo unafanya mambo yanipite?
Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.Kama havunji sheria na hakuna aliyetapeliwa hakuna shida; kuhusu anapata hela wapi, inatakiwa mimi na wewe tuende tukamuulize atusaidie na sisi kutupa hizo mbinu za kupata hela.
Exactly! Hakuna anayejua! Umetumia hekima sana!Hakuna ajuwae siku ya kesho ya mtu
Ilisemaje lete nukuu hzo na ma andiko hayoBiblia imeongelea kuhusu watu hawa.
Sahihi kbsaa yaan out of no were lijitu linaibuka linagawa minoti tu haijulikani kazi toa waliHata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
Unamfananisha GINIMBI na Chawa Tapeli CGL? Ginimbi source ya hela yake inajulikana.Unampata mtu mmoja alishapata kutokea anaitwa Genius Kadungure GINIMBI ndo dizaini ya hivo.
Utajiri upo hivi; Mwenyezi Mungu akikupa utajiri Huwa anatangulia kukupa HEKIMA! huji kusikia mtu aliyepewa utajiri na Mungu akawa na dharau, kuwakashifu wengine huwa anakua kuna utulivu katika utajiri wake(Hekima fulani).
Je Jamaa anaangukia humo?
Basi mwacheni afurahie utajiri wake!Utajiri ni siri na hutasikia hata siku moja mtu anakupa njia aliyofanikiwa akafika hapo NEVER
Kaka nafanya kaz sna nanituma sna ila sipati pesa huyu atuambie alizipataje mnk kuna tatizo kubwa San wenda huyu ni jambazi au anamiliki genge la uhalivuAcha wivu we Bosco Ntaganda fanya kazi
Mimi nimeijua na wewe pia ni masikini umezaliwa Ili uwe masikiniHakuna ajuwae siku ya kesho ya mtu
Chunya moja! dhahabu kwa wingiKijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Vijna wa kiatanzani ni no go lalazUnamfananisha GINIMBI na Chawa Tapeli CGL? Ginimbi source ya hela yake inajulikana.
Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
Acha wivu umasikini utakua tafuta helaChukua hii,
-Matajiri wa kweli hawatoi misaada kwa kujitangaza na hawana mashindano ya kuoneshana nani anapesa Zaidi
-Matajiri wanao jitangaza, kiuhalisia sio tajiri huyo. "Pesa haitaki kelele!" huyo ana njaa ya fedha na umaarufu.
Anachokifanya;
kuwalipa wenye media mbali mbali kutangaza au kuchapisha taarifa zake za kumsifia.(kumpaisha)
Ana miliki chawa wengi wenye kumsifia sifia kwenye social medias karibu zote.
Mpaka sasa, siyo yeye waa chawa wake wanao weza kusema jamaa ana biashara gani, hii hakuna 😀 😀.
Matajiri ni wale wamiliki wa mashamba, majengo, viwanda, makampuni kwenye sekta mbalimbali, hisa nk nk.
Utakuwa bado uko kwenye ujima, sasa ikiwa hivyo, itakusaidia vipi wewe kukuongezea kipato?Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
Sasa hela za kuwalipa machawa anapata wapi? Kwa sababu mimi na wewe hatuna chawa kwa sababu hatuwezi kuwalipa.Chukua hii,
-Matajiri wa kweli hawatoi misaada kwa kujitangaza na hawana mashindano ya kuoneshana nani anapesa Zaidi
-Matajiri wanao jitangaza, kiuhalisia sio tajiri huyo. "Pesa haitaki kelele!" huyo ana njaa ya fedha na umaarufu.
Anachokifanya;
kuwalipa wenye media mbali mbali kutangaza au kuchapisha taarifa zake za kumsifia.(kumpaisha)
Ana miliki chawa wenye akaunti nyingi na kumsifia sifia kwenye social medias karibu zote.
Mpaka sasa, siyo yeye waa chawa wake wanao weza kusema jamaa ana biashara gani, hii hakuna 😀 😀.
Matajiri ni wale wamiliki wa mashamba, majengo, viwanda, makampuni kwenye sekta mbalimbali, hisa nk nk.
Ilisemaje lete nukuu hzo na ma andiko hayo
Hahahaha riziki mafungu7 wote hatuwezi kuwa matajiri regardless unachapa kazi kwa kiwango gani. Take it easy chief kapambana kapata helaKaka nafanya kaz sna nanituma sna ila sipati pesa huyu atuambie alizipataje mnk kuna tatizo kubwa San wenda huyu ni jambazi au anamiliki genge la uhali