Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Attachments

  • IMG_20241101_111555.jpg
    IMG_20241101_111555.jpg
    66 KB · Views: 3
Kama havunji sheria na hakuna aliyetapeliwa hakuna shida; kuhusu anapata hela wapi, inatakiwa mimi na wewe tuende tukamuulize atusaidie na sisi kutupa hizo mbinu za kupata hela.​
Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
 
Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
Sahihi kbsaa yaan out of no were lijitu linaibuka linagawa minoti tu haijulikani kazi toa wali
 
Unampata mtu mmoja alishapata kutokea anaitwa Genius Kadungure GINIMBI ndo dizaini ya hivo.

Utajiri upo hivi; Mwenyezi Mungu akikupa utajiri Huwa anatangulia kukupa HEKIMA! huji kusikia mtu aliyepewa utajiri na Mungu akawa na dharau, kuwakashifu wengine huwa anakua kuna utulivu katika utajiri wake(Hekima fulani).

Je Jamaa anaangukia humo?

Basi mwacheni afurahie utajiri wake!Utajiri ni siri na hutasikia hata siku moja mtu anakupa njia aliyofanikiwa akafika hapo NEVER
Unamfananisha GINIMBI na Chawa Tapeli CGL? Ginimbi source ya hela yake inajulikana.
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Chunya moja! dhahabu kwa wingi
 
Chukua hii,
-Matajiri wa kweli hawatoi misaada kwa kujitangaza na hawana mashindano ya kuoneshana nani anapesa Zaidi
-Matajiri wanao jitangaza, kiuhalisia sio tajiri huyo. "Pesa haitaki kelele!" huyo ana njaa ya fedha na umaarufu.

Anachokifanya;
kuwalipa wenye media mbali mbali kutangaza au kuchapisha taarifa zake za kumsifia.(kumpaisha)
Ana miliki chawa wenye akaunti nyingi na kumsifia sifia kwenye social medias karibu zote.

Mpaka sasa, siyo yeye waa chawa wake wanao weza kusema jamaa ana biashara gani, hii hakuna 😀 😀.
Matajiri ni wale wamiliki wa mashamba, majengo, viwanda, makampuni kwenye sekta mbalimbali, hisa nk nk.
 
None of your Bisnesss kujua ni halali au haram dunia ina pande mbili za shilling Yan ubaya na uzuri
Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
 
Chukua hii,
-Matajiri wa kweli hawatoi misaada kwa kujitangaza na hawana mashindano ya kuoneshana nani anapesa Zaidi
-Matajiri wanao jitangaza, kiuhalisia sio tajiri huyo. "Pesa haitaki kelele!" huyo ana njaa ya fedha na umaarufu.

Anachokifanya;
kuwalipa wenye media mbali mbali kutangaza au kuchapisha taarifa zake za kumsifia.(kumpaisha)
Ana miliki chawa wengi wenye kumsifia sifia kwenye social medias karibu zote.

Mpaka sasa, siyo yeye waa chawa wake wanao weza kusema jamaa ana biashara gani, hii hakuna 😀 😀.
Matajiri ni wale wamiliki wa mashamba, majengo, viwanda, makampuni kwenye sekta mbalimbali, hisa nk nk.
Acha wivu umasikini utakua tafuta hela
 
Hata kama haijathibitika kuwa amevunja sheria ila nadhani mtu yoyote ukiwa na mali basi uwe na uwezo wa kuthibitisha umezipata kwa njia gani.
Utakuwa bado uko kwenye ujima, sasa ikiwa hivyo, itakusaidia vipi wewe kukuongezea kipato?
 
Chukua hii,
-Matajiri wa kweli hawatoi misaada kwa kujitangaza na hawana mashindano ya kuoneshana nani anapesa Zaidi
-Matajiri wanao jitangaza, kiuhalisia sio tajiri huyo. "Pesa haitaki kelele!" huyo ana njaa ya fedha na umaarufu.

Anachokifanya;
kuwalipa wenye media mbali mbali kutangaza au kuchapisha taarifa zake za kumsifia.(kumpaisha)
Ana miliki chawa wenye akaunti nyingi na kumsifia sifia kwenye social medias karibu zote.

Mpaka sasa, siyo yeye waa chawa wake wanao weza kusema jamaa ana biashara gani, hii hakuna 😀 😀.
Matajiri ni wale wamiliki wa mashamba, majengo, viwanda, makampuni kwenye sekta mbalimbali, hisa nk nk.
Sasa hela za kuwalipa machawa anapata wapi? Kwa sababu mimi na wewe hatuna chawa kwa sababu hatuwezi kuwalipa.
 
Ilisemaje lete nukuu hzo na ma andiko hayo
Shetani akamchukua mwana wa adamu mpaka kwenye kilele cha mlima na kumuonyesha mali zote za dunia, akamawambia '' ukiniabudu na kunisujudia, nitakupa mali hizi zote za dunia.''

Kwa maelezo hayo, wewe maisha yako ni magumu kwa sababu hutaki kumsujudia.​
 
Hahahaha
Kaka nafanya kaz sna nanituma sna ila sipati pesa huyu atuambie alizipataje mnk kuna tatizo kubwa San wenda huyu ni jambazi au anamiliki genge la uhali
Hahahaha riziki mafungu7 wote hatuwezi kuwa matajiri regardless unachapa kazi kwa kiwango gani. Take it easy chief kapambana kapata hela
 
Back
Top Bottom