Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepigwa chips yai Pepsi moja ya baridi kabisa na hujaambulia hata busu harafu unasema huelewi ...
Ewiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli mkuu imetokea leo; mbaya zaidi yeye hakuniomba namba na mimi sikumuomba namba; na sijazungumza naye zaidi ya kuitikia salamu yake na kulipa bili basi.Equation x anapambana saana na george aloyce. Ngoja tuone bingwa nani.
Sina hakika, kwa sababu baadaye alibaki peke yake pale mezani akiendelea kula chipsikijana ambae mlikua mme kaa nae pamoja na akakufata na akakuuliza mbona huyu dada wa mchongo simuelewi,
ndie alikua na yule dada wa mchongo katika mission town,
Shukuru Mungu basi ulilokua ukilisubiria lilikua limefika na ukaondoka 🐒
Ha ha ha nyie mnaishi dunia ya wapi haya mambo yasiwatokee?Kwa uongo wote wako vzr.
ThubutuBahati nzuri nilikuwa na maji ya upako 😀
Atakuwa ni moja wa mademu zako, uliowahi kuwatongoza.
Kumbuka vzr boss.
Ya kweli mkuu; dunia ina mambo.Hii tangawizi
Dunia na maajabu yakeKumekuchaaa sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ningefanyaje mkuu? Je nisingemnunulia kungetokea nini?Thubutu
Asante mkuu, najiuliza ni kweli alikuwa na shida hiyo au ni mitego ya kidunia.Pole sana mkuu
Kwa mazingira na muonekano wake, nisingewezaAmekuona boya hujamwomba mzigo
niliwahi kukutana binti kariakoo kavaa baibui vizuri kabisaa, sheli flani hivi kuna ATM nilipita kuchota visenti kidogo mida ya saa1 usiku..Itakuwa ni jini.
Alizilia palepale mezani, na yeye alikuwa anasafiri, kwa sababu alikuwa na begiMbona na demu wangu kaleta chips home na alikuwa amevaa hivyo hivyo!! 😢😢😢
kama amekupa namba usimpigie mkuu😢😢😢
Hamna safari anauza mitumba gledi wani hapo stendi mkuu😢😢😢Alizilia palepale mezani, na yeye alikuwa anasafiri, kwa sababu alikuwa na begi