Huyu dada simuelewi

Huyu dada simuelewi

Mtoa mada kwanini umemnunulia chipsi mtu ambaye hata humjui??Mnawezaje Kwa kweli kisa mwanamke.

Let's say ungekuwa na nauli tu huna hela nyingine kabisa alafu anakuambia umnunulie ungefanyaje??

Angekuwa mwanaume amefanya hayo aliyofanya huyo mwanamke ungekubalii??


Niseme tu Hawa wanawake wameshatuona wanaume ni mazuzu.
 
Leo nilikua kwenye ktuo kimoja cha mabasi ya mikoani, nikiwa nikisubiri usafiri wa kunipeleka mkoa x; wakati nikisubiri gari, nilikaa kwenye kimeza kimoja karibu na mchoma mishikaki na chipsi, nikiwa napata pepsi huku tukibadilishana mawazo na baadhi ya abiria.

Ghafla akatokea dada mmoja ambaye simfahamu, amevaa baibui nyeusi huku amefunika hadi kichwa na kuachia sehemu ya uso tu ionekane; akaja kwenye ile meza yetu na kuvuta kiti, kisha akanijulia hali.

Baada ya kama dakika tatu hivi, yule dada akaniomba nimnunulie chipsi, kwa kuwa sikuwa nimejiandaa nikamwambia achukue chipsi kavu; mara ghafla akamwambia yule wa jikoni ampatie chipsi mayai na pepsi ya 'take away'.

Sisi tukabaki kumtazama tu, mara basi nililokuwa nalisubiri nalo likafika, nikamwambia yule dada mi naondoka; akaniuliza unaenda wapi? Nikamjibu naenda mkoa x, akamuita yule kijana ili nilipe bili; nami nikalipa nikaondoka.

Wakati naondoka, akanifuata kijana mmoja ambaye naye tulikuwa tumekaa naye pamoja; akaniuliza,mbona yule dada simuelewi elewi, inakuwaje mtu hamfahamiani afanye vile; mi nikamjibu hata mimi mwenyewe naona kama miujiza tu.

Yule kijana akaniambia, inawezekana labda ni majaribu tu, huwezi jua; inawezekana ikawa njia ya fursa huko mbeleni,mara mafursa ya maokoto yakafunguka.

Nikabaki nacheka tu. Ila kiukweli, mpaka sasa bado natafakari hiyo sinema.​
Hamkutandikwa bakora kwa kula hadharani?
 
Mjini shupe hapa Mimi angelipa Tu mwenyewe yaani from nowhere aje nimlipie for no reason

LABDA atleast ukikuangalia unajua anashida au dishi limecheza

Hata kutoa ni moyo mzee usiwazee sana
 
Leo nilikua kwenye ktuo kimoja cha mabasi ya mikoani, nikiwa nikisubiri usafiri wa kunipeleka mkoa x; wakati nikisubiri gari, nilikaa kwenye kimeza kimoja karibu na mchoma mishikaki na chipsi, nikiwa napata pepsi huku tukibadilishana mawazo na baadhi ya abiria.

Ghafla akatokea dada mmoja ambaye simfahamu, amevaa baibui nyeusi huku amefunika hadi kichwa na kuachia sehemu ya uso tu ionekane; akaja kwenye ile meza yetu na kuvuta kiti, kisha akanijulia hali.

Baada ya kama dakika tatu hivi, yule dada akaniomba nimnunulie chipsi, kwa kuwa sikuwa nimejiandaa nikamwambia achukue chipsi kavu; mara ghafla akamwambia yule wa jikoni ampatie chipsi mayai na pepsi ya 'take away'.

Sisi tukabaki kumtazama tu, mara basi nililokuwa nalisubiri nalo likafika, nikamwambia yule dada mi naondoka; akaniuliza unaenda wapi? Nikamjibu naenda mkoa x, akamuita yule kijana ili nilipe bili; nami nikalipa nikaondoka.

Wakati naondoka, akanifuata kijana mmoja ambaye naye tulikuwa tumekaa naye pamoja; akaniuliza,mbona yule dada simuelewi elewi, inakuwaje mtu hamfahamiani afanye vile; mi nikamjibu hata mimi mwenyewe naona kama miujiza tu.

Yule kijana akaniambia, inawezekana labda ni majaribu tu, huwezi jua; inawezekana ikawa njia ya fursa huko mbeleni,mara mafursa ya maokoto yakafunguka.

Nikabaki nacheka tu. Ila kiukweli, mpaka sasa bado natafakari hiyo sinema.​
Umehudumia janaume!
 
Mtoa mada kwanini umemnunulia chipsi mtu ambaye hata humjui??Mnawezaje Kwa kweli kisa mwanamke.

Let's say ungekuwa na nauli tu huna hela nyingine kabisa alafu anakuambia umnunulie ungefanyaje??

Angekuwa mwanaume amefanya hayo aliyofanya huyo mwanamke ungekubalii??


Niseme tu Hawa wanawake wameshatuona wanaume ni mazuzu.
Hilo ni dume mkuu
 
Ila wanawake bana sijui wakoje.Nilienda kupata moja moto moja baridi kwenye kiglosari ambacho anauza huyo dada(ni cha kwake).Nikiwa hapo akaniomba nimnunulie bia moja nikamwambia sawa.Cha kushangaza baada hapo kila nikimuagiza bia nyingine ya kwangu na yeye anachukua ya kwake wakati mwanzoni aliomba moja tu.
 
Leo nilikua kwenye ktuo kimoja cha mabasi ya mikoani, nikiwa nikisubiri usafiri wa kunipeleka mkoa x; wakati nikisubiri gari, nilikaa kwenye kimeza kimoja karibu na mchoma mishikaki na chipsi, nikiwa napata pepsi huku tukibadilishana mawazo na baadhi ya abiria.

Ghafla akatokea dada mmoja ambaye simfahamu, amevaa baibui nyeusi huku amefunika hadi kichwa na kuachia sehemu ya uso tu ionekane; akaja kwenye ile meza yetu na kuvuta kiti, kisha akanijulia hali.

Baada ya kama dakika tatu hivi, yule dada akaniomba nimnunulie chipsi, kwa kuwa sikuwa nimejiandaa nikamwambia achukue chipsi kavu; mara ghafla akamwambia yule wa jikoni ampatie chipsi mayai na pepsi ya 'take away'.

Sisi tukabaki kumtazama tu, mara basi nililokuwa nalisubiri nalo likafika, nikamwambia yule dada mi naondoka; akaniuliza unaenda wapi? Nikamjibu naenda mkoa x, akamuita yule kijana ili nilipe bili; nami nikalipa nikaondoka.

Wakati naondoka, akanifuata kijana mmoja ambaye naye tulikuwa tumekaa naye pamoja; akaniuliza,mbona yule dada simuelewi elewi, inakuwaje mtu hamfahamiani afanye vile; mi nikamjibu hata mimi mwenyewe naona kama miujiza tu.

Yule kijana akaniambia, inawezekana labda ni majaribu tu, huwezi jua; inawezekana ikawa njia ya fursa huko mbeleni,mara mafursa ya maokoto yakafunguka.

Nikabaki nacheka tu. Ila kiukweli, mpaka sasa bado natafakari hiyo sinema.​
Kumpa mtu msaada wa chipsi kavu halafu akaagiza chipsi yai na soda baridi ndo utuletee mayowe huku mitandaoni....

Unapotoa msaada kwa mkono wa kuume, hata mkono wa kushoto usijue
 
Mjini shupe hapa Mimi angelipa Tu mwenyewe yaani from nowhere aje nimlipie for no reason

LABDA atleast ukikuangalia unajua anashida au dishi limecheza

Hata kutoa ni moyo mzee usiwazee sana
Nilijua dishi haliko sawa, kwa sababu alikuwa anajiamini sana
 
Back
Top Bottom