Huyu demu au jini maana simuelewi

Huyu demu au jini maana simuelewi

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Nimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza
 
nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu
hii si kweli, ni wewe unaamini sana mambo ya uchawi, siku ukimuwaza afu ikatokea ukakutana nae na haukupanga, basi unaanza kumuona ni mchawi/jini, lakini sio kila siku unayomuwaza unakutana nae. Hii inaitwa cognitive bias(upendeleo wa utambuzi), unaona tu vile vitu ambavyo unaviamini.

hapo kwenye kujua kwao, si unaongea nae tu
 
hii si kweli, ni wewe unaamini sana mambo ya uchawi, siku ukimuwaza afu ikatokea ukakutana nae na haukupanga, basi unaanza kumuona ni mchawi/jini, lakini sio kila siku unayomuwaza unakutana nae. Hii inaitwa cognitive bias(upendeleo wa utambuzi), unaona tu vile vitu ambavyo unaviamini.

hapo kwenye kujua kwao, si unaongea nae tu
binadamu tupo aina mbili wasioamin mambo ya kiroho na wanaoamin mambo ya kiroho nazan nimeeleweka
 
mchango wako tafathar nisije nikapotea kimazingala mkanikosa hapa jf maana mi mtu muhmu sana hapa ndan tena sana na wiki ijayo nakaribia kugombea u moderote wa humu kura zenu tafathar
uwe unamuomba ww pesa mkuu afu uone atakupa..?
 
Tulimpoteza anko wetu ivi ivi yaan mambo yakawa zig zag

Anko alinishi na mtu baadae wakapotezana nae walipeana kiapo Cha damu

Yaan maisha yake yame be ruined forever

Huwa ukimsema anajua namaanisha ukimsnitch tambua ukifk tu yeye kajua pia Huwa anasema kesho kitu Flani kitatokea na Kweli na hataki kwenda kanisani Wala kwa mganga yaan nishida kubwa sanaaa....
 
Nyie nao hamueleweki si kungur si mwewe, mkiombwa pesa mnalalamika ay umepata asie omba pesa bado unalalamika, alaf unataka upajue qwaqe ili uanze kumlipia kodi au kumbadilishia asset za ndani??, kama unampenda na una malengo mwambie akupeleke qwao maan qwaqe anaweza kufake
 
Back
Top Bottom