Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Sasa kama hana Simu huwa mnawasiliana je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AKA......JINI DARLING !!!Kuna kitu anachukua toka kwako kimya kimya chunga sana nyota yako
Mimi sio mganga wa jadi wala nabii ila kuna mambo yapo wazi
Unajifunza kudanganyaNimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza
[emoji848][emoji2827]Nimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza
mwanzoni kabisa alinipigia lakn saiz kila ukipiga inasema namba hy c sahihi +0635653255 na sijuag ya mtandao ganWapo wengi tu siku mgusie twende wa mwamposa mi nshawah kutana na hao wengi tu na wanapotea katk hali amabyo umpati kamwe, kama anasimu basi anakuwa na namba nyingi sana n ktk simu kamwe hutosikia sauti yake
Hivii, ni kwamba members wa humu unawaona kama vile Makende yako au?Nimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza