Huyu demu au jini maana simuelewi

Huyu demu au jini maana simuelewi

Nimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza
Unajifunza kudanganya
 
Nimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza
[emoji848][emoji2827]
f038752e463225109977b9eaf2b262d7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wengi tu siku mgusie twende wa mwamposa mi nshawah kutana na hao wengi tu na wanapotea katk hali amabyo umpati kamwe, kama anasimu basi anakuwa na namba nyingi sana n ktk simu kamwe hutosikia sauti yake
 
Wapo wengi tu siku mgusie twende wa mwamposa mi nshawah kutana na hao wengi tu na wanapotea katk hali amabyo umpati kamwe, kama anasimu basi anakuwa na namba nyingi sana n ktk simu kamwe hutosikia sauti yake
mwanzoni kabisa alinipigia lakn saiz kila ukipiga inasema namba hy c sahihi +0635653255 na sijuag ya mtandao gan
 
Nimekutana nae bar toka nianzishe nae mahusiano saizi ni miez miwili ajabu kwake sipajui na hataki nipajue mfano, nikiwa nae mbali nikisema tu nimuwazie yaani nimuweke kwenye mawazo yangu haipiti masaa mawili lazima nimuone machoni kwangu, utakuta namkuta sehemu, ajabu na yeye atakwambia nilikuwa nakukumbuka sio muda, hana simu, wala mawasiliano yoyote, nimefanya nae mapenzi mara 35+ mpaka sasa lakini hajawah niomba hata mia na ukimpa hela anakataa, wakuu hiyi imekaaje kaaje? Baada ya kumali kuandika huu uzi kabla sijaposti huyu hapa mbele yangu, wakuu ngoja kwanza niongee nae, naomben mnisaidie maswali ya kumuuliza maana huwa nasahau ninapo panga kumuuliza
Hivii, ni kwamba members wa humu unawaona kama vile Makende yako au?
 
Miaka fulani kiwalani Dar niliwahi kuparamia mwanamke mmoja alikuwa mzuri sana, kumbe alikuwa anamilikiwa na "walimu" wake....basi ilikuwa kila akinipigia simu au nikimpigia akipokea lazima ataanza na maneno {habari ya sehemu fulani}, anataja jina la eneo nilipo ilhali sikumwambia kabla kuwa naenda sehemu fulani.

Ilikuwa hatari sana lakini Mungu ni mwema sana aliniokoa na lile janga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr pipa inabd TU ukwee pipa uende Kwa biden
 
Muulize kuna utofaut wa jini anaeishi Kijijin tanzania na jini linaloishi Canada
 
Hiyo ni sawa na una mwanaume unamuelewa, lakini kila unapokutana naye anakuona na nguo ile ile moja toka siku ya kwanza mnaonana.
Siku ukivaa nguo nyingine hamkutani, ukithubutu kuvaa ile nguo hatua ya kwanza, ya pili huyu hapa🤣🤣🤣🤣
Mpaka unatamani kumwambia sina nguo moja ninazo na nyingine. 😂😂
Ila unabaki unasonya na kutukana
 
Back
Top Bottom