Huyu demu au jini maana simuelewi

wenzako wanaona stori za kusadikika ndio maana sijataka kusimulia mengi nimeamua kuifanya insha isiyozid maneno 500 mana tukianza mwanzo had mwisho kizaz cha nyoka kigumu kuelewa
 
sanaa mkuu mana hapa bongo c pigo zangu kabisa ngoja nimwombe nauli shemeji yenu
 
Mmefahamiana miezi 2, mmefanya mapenzi zaidi ya mara 35! Maana yake
Kufahamiana miezi 2, mapenzi zaidi ya mara 35,kiuwiano karibu kila baada ya siku 2 mnafanya mapenzi.
Linda sperm zako,utakufa.
 
Hiyo ni sawa na una mwanaume unamuelewa, lakini kila unapokutana naye anakuona na nguo ile ile moja toka siku ya kwanza mnaonana.
Siku ukivaa nguo nyingine hamkutani, ukithubutu kuvaa ile nguo hatua ya kwanza, ya pili huyu hapa
 
inawezekana siwez kukupinga na sio kaz yangu kukuaminisha ikiwa mim mwenyewe nipo njia panda
Baki hapo hapo njiapanda.

Ukijitusu kusogea kutoka hapo ndo utaona kilichomtoa mkoloni manyoya ya utosi
 
Mmefahamiana miezi 2, mmefanya mapenzi zaidi ya mara 35! Maana yake

Kufahamiana miezi 2, mapenzi zaidi ya mara 35,kiuwiano karibu kila baada ya siku 2 mnafanya mapenzi.
Linda sperm zako,utakufa.
mbona hy afathar mi bwana toka nibalehe miaka 15 sijawah kupita siku mbili bila kusex saiv nina miaka 30 kwanza nimekumbuka ngoja nilete uzi
 
mwanzoni kabisa alinipigia lakn saiz kila ukipiga inasema namba hy c sahihi +0635653255 na sijuag ya mtandao gan
Nimempigia inaniambia sina salio la kutosha. Alichofanya hataki kupokea simu za region hii.

Ili kumpata kama ameelekeza simu yake kwenye namba halisi ya dunia hii, inabidi kumpigia kwa salio la kawaida sio kifurushi.
 
Siri ni nini? kuna nn nyuma ya pazia?
 
Haji na upepo unaovuma kwa kasi mithili y kimbunga?
 

Umekutana na muhuni ,mjanja zaidi yako. Umetokea kumuamini haraka kabla hujamchunguza
 
Hilo litakuwa jini tu limeshatatua rinda umelowa tu huko nyuma.

Nyau ww!
 
Umenikumbuka mshikaji wangu tunafanya kazi office moja,ana demu wake mmoja hivi tokea Iringa huwa tukiwa tunapiga story ikitokea tukamtaja tu huyo demu hazipiti dk 10 lazima apande hewani,. nashukuru sn maana jamaa alishatemana nae[emoji119][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…