Huyu dereva bodaboda na hii treni walikuwa wanarekodi sinema au ni tukio la kweli?

Huyu dereva bodaboda na hii treni walikuwa wanarekodi sinema au ni tukio la kweli?

Boda boda akili zao fyatu

Ikitokea hapo amevuta,watakuambia

Mungu alipanga

Ova
 
Ngoja nikuweke sawa kidogo kwanza unaposema treni maana yake ni locomotive na mabehewa yake. Sasa hiyo locomotive huwa na breki za aina 4.

1. Independent brake hii hutumika wakati locomotive ikiwa peke yake bila mabehewa na ni ya haraka zaidi.

2. Automatic brake hii hutumika locomotive ikiwa na mabehewa yake sasa hii kidogo huchukua muda kufanya application ndiyo hupelekea kupata long distance ili kusimama kwasababu mabehewa hayasimamishwi ghafla yanaweza kuanguka.

3. Dynamic brake hii ni brake ya kiumeme hutumika kupunguza mwendo wa treni siyo kusimama.

4. Parking brake hii hutumika locomotive ikiwa katika hali ya kusimama pasina matumizi tena au wakati wa matengenezo.

Sasa basi hilo tukio unaloliona hapo hiyo treni kwanza ilikuwa na behewa moja (passenger coach) pili haikuwa na speed kubwa kabisa ndiyo maana huyo locomotive driver aliweza kuidhibiti kwa urahisi sana ingekuwa na speed hata 20km/h huyo asingepona.
Hivi huwezi kujua kuwa hiyo klip ina location zaidi ya moja?
Mbona simple tu?
Halafu gari Moshi haliwezi kusimama eti tu Bodaboda anakrosi reli.
Na kumbuka hilo dudu haligongi chochote bali linagongwa
 
Hivi huwezi kujua kuwa hiyo klip ina location zaidi ya moja?
Mbona simple tu?
Halafu gari Moshi haliwezi kusimama eti tu Bodaboda anakrosi reli.
Na kumbuka hilo dudu haligongi chochote bali linagongwa
Umewahi kuendesha treni? Nikuulize swali ukiachana na position ya emergency katika DBV kwanini penalty brake application ipo au kwanini inapotokea Break in two au train kugawanyika Emergency brake hutokea na kwa distance fupi mno tofauti na service brake application?

Wangapi wanasimama katika makutano ya barabara na reli kwa kuwapuuza tu wahisika kama hivyo endapo kama treni itakuwa ndefu sana may be unit 42 ni ngumu sana kusimama gafla ikiwa na speed approximately 50km/hr. Sasa angalia hiyo clip uone ni unit 2 na mwendo mdogo huo umuue huyo kiumbe wa nini?

Siyaandiki haya humu kwa kutaka kufurahisha mtu by experience takribani 25 years na kuachana nayo.
 
Nadhani wanaonyesha jinsi wazee wa laana bodaboda walivyokuwa na akili kisoda.
 
Na kuna video ya drones nadhani hawajaionyesha
 
Kuna kipande cha sinema kinasambaa sana kikimuonyesha afisa Usafirishaji a.k.a bodaboda akilazimisha kupita mbele ya treni iliyo kwenye mwendo.

View attachment 2577849

Ila naona gafla hiyo treni ikasimama gafla kitu ambacho sikuwahi na sijawahi kuona wala kushuhidia breki za haraka za treni kuwa sawa na gari.

Nashangaa dereva toyo alishuka kama pikipiki imedondoka tu pembeni ya nyasi na wala hakushtuka alikuwa anajivuta kutoka kwenye toyo yake.

View attachment 2577850

Kama kuna mwenye hiyo sinema anaweza kuituoia hapa wadau waichakate.
Haina tofauti na yule muuza mahindi ya kuchoma wa Dumila enzi za Jiwe
 
Umewahi kuendesha treni? Nikuulize swali ukiachana na position ya emergency katika DBV kwanini penalty brake application ipo au kwanini inapotokea Break in two au train kugawanyika Emergency brake hutokea na kwa distance fupi mno tofauti na service brake application?

Wangapi wanasimama katika makutano ya barabara na reli kwa kuwapuuza tu wahisika kama hivyo endapo kama treni itakuwa ndefu sana may be unit 42 ni ngumu sana kusimama gafla ikiwa na speed approximately 50km/hr. Sasa angalia hiyo clip uone ni unit 2 na mwendo mdogo huo umuue huyo kiumbe wa nini?

Siyaandiki haya humu kwa kutaka kufurahisha mtu by experience takribani 25 years na kuachana nayo.
Beating about the bush!
Issue si TREN tu. Study very carefully the clip. Utapata jibu kuwa hiyo ni movie
 
Beating about the bush!
Issue si TREN tu. Study very carefully the clip. Utapata jibu kuwa hiyo ni movie
Siyo movie brother watu wanadharau tu hiyo ilikuwa ni morogoro tabora fikiria mtu kapigiwa honi zaidi ya mara 5 na bado akaingia na ikatokea collision watu wanadharau sana treni mfano mwingine hata kuna watu wamegusia manyoni napo hivyo hivyo. Hayo matukio kwa aliyewahi oparate locomotive hashangai kaka.
 
Beating about the bush!
Issue si TREN tu. Study very carefully the clip. Utapata jibu kuwa hiyo ni movie
Hiyo video imeandaliwa mahususi na TRC kwa ajili ya kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara kwenye maeneo reli inapokatiza
 
Kulikua mafunzo ya vitendo usalama barabarani ndo usalama barabarani walikua wanaigiza hapo na bodaboda.

Mbona usalama barabarani wamepost wenyewe na wameeleweka, ila niseme tu ingekua tren kweli na safari zake huyu pimbi angepelekewa hilo chuma kweli kweli *****
 
Hiyo video imeandaliwa mahususi na TRC kwa ajili ya kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara kwenye maeneo reli inapokatiza
Sasa chief mbona kama unasoma na uelewi hadi nimepitia replies ndo kukutana na hili jibu lako?.

Andiko limeuliza swali na wewe ulipaswa ujibu andiko but hamna shida tufanye hivi;

TRC wameandaa hiki kituko kwa ajili ya kutoa elimu sasa basi, toa muongozo imekuaje baada ya tukio hilo?
 
Sasa chief mbona kama unasoma na uelewi hadi nimepitia replies ndo kukutana na hili jibu lako?.

Andiko limeuliza swali na wewe ulipaswa ujibu andiko but hamna shida tufanye hivi;

TRC wameandaa hiki kituko kwa ajili ya kutoa elimu sasa basi, toa muongozo imekuaje baada ya tukio hilo?
Mimi nimeongelea dhima ya video iliyowekwa. Imesambazwa kwa jamii kwa lengo la kutoa elimu. Sasa wewe unavyosema nini kimetokea nashindwa kukuelewa
 
Mimi nimeongelea dhima ya video iliyowekwa. Imesambazwa kwa jamii kwa lengo la kutoa elimu. Sasa wewe unavyosema nini kimetokea nashindwa kukuelewa
Hata Mimi ninayo hiyo video, tena pembeni kuna afande kasimama,Maneno ya action/Cut pia yanasikika,na pembeni Kama kawaida Wabongo wamejazana wanaangalia movie hilo!!
 
Mimi nimeongelea dhima ya video iliyowekwa. Imesambazwa kwa jamii kwa lengo la kutoa elimu. Sasa wewe unavyosema nini kimetokea nashindwa kukuelewa
Imeandikwa wapi kuwa ni ya kutolea elimu?.

Jibu hapo kwanza kisha tuendelee.
 
he is trying to play subway surfer in real life.
How do you know real life is real? How do you sknow subway surfer world is fake?
What if we are just a game that subway surfers are playing?
 
Back
Top Bottom