Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

Watu bongo wanapigwa sana kwa kukosa maarifa

Hizi secret cults (kama zipo) hazifanyi huu ujinga wa kujipiga piga picha ovyo, naona siku izi insta eti watu Wanapewa maburungutu ya hela eti nendeni mzitumie vizuri msivunje masharti, kiufupi Kuna wajinga wanatafutwa wapigwe, na ndo maana kina chief goodlove hawakosi hela ya kula maana wanawapiga sana wajinga
 
Kiki tu hapo, wajenzi huru wanatumia biki za obama (Mia Mia 2) ku sign mikataba ya utajiri?

Wamekosa hata elfu 20 kununua presidential PEN!
ata ukipita pale posta kweny lodge yao utaona...... niliona kuna magari yamepack ya kawaid Sana mule ndan na yamechoka mfn harrier old model na niliona jamaa anatokea mule ndan wa kawaid Sana sas nahis hatujui chochote kuhus freemasons
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…