Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

Huyo dogo sindio aligongewa demu wake na Harmonize kisha akaachwa akapagawaga kabisa hata mziki 😁😁😁 nadhani toka atoe ngoma yake ya sarafina sijaskia hit yeyote hadi leo.

Japo niliona kasamehewa na demu wake sahizi wamerudiana. Huu ni ujinga anaoweza baba levo na yeye tu wa kutafta huruma za kike.
 
Freemason hapa Tz hawana wanachama masikini. Tuwen serious kidogo
 
Asilimia kubwa Yao Wala hawana ufahamu na hawajui chochote kuhusu Chama chao zaidi ya basics tu, only few ndo wana ufahamu na kuijua taasisi vizuri, taasisi zote hizo ziitwazo 'secret societies' zimewaziba macho kundi kubwa la watu wao yaani kama vile mfano wa pyramid, ile 'cap' ya juu kabisa ndiyo inayoijua taasisi nje ndani, wengine ni 'pawns' tu na ukichukulia zaidi lugha ya alama ilivyo ngumu basi only smart people upstairs ndo huwa kule juu kukufanyia wewe maamuzi na kukwambia kidogo tu unachopaswa kukikariri, elimu na maarifa ya uhakika yapo juu kwenye 'cap' kulee na ipo Kwa wachache wanaoitwa smart vichwani.

NB. Watu wengi wakarimu, wacheshi nk mbele za watu, ni wachafu wazuri sana.
We haya yote umeyajuaje?
 
Freemason huwa hakuna kuomba kujiunga wana kuchagua wao kimyakimya ila wanaokataa ndo hutoa siri .kigezo cha kwanza uwe mtu uliefanya jambo kwenye jamii na utokee dini ya uislamu au ukristo (kuamini mungu mmoja ) na uwe mcha mungu.Na kwa tuanaowajua japo kwa minongono hiyo nguvu ya kuwataja kwenye mitandao unaopata wapi .bora itukane serikali hawatakupata ila Mr Chande alikuwa akitamka upote unapotea .Ishu ni usiwafatilie nao hawajawahi bembeleza mtu awe wao .Na hawagawi hela ila wanapeana connection yaan dilibwanapeana maana hawawezi dhulmiana
 
Back
Top Bottom