Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
TISS wachukue vichwa kama hivi.Kiki tu hapo, wajenzi huru wanatumia biki za obama (Mia Mia 2) ku sign mikataba ya utajiri?
Wamekosa hata elfu 20 kununua presidential PEN!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TISS wachukue vichwa kama hivi.Kiki tu hapo, wajenzi huru wanatumia biki za obama (Mia Mia 2) ku sign mikataba ya utajiri?
Wamekosa hata elfu 20 kununua presidential PEN!
Acha vijana wapambaneBeka flavour
freemason basi nao wamechokaata ukipita pale posta kweny lodge yao utaona...... niliona kuna magari yamepack ya kawaid Sana mule ndan na yamechoka mfn harrier old model na niliona jamaa anatokea mule ndan wa kawaid Sana sas nahis hatujui chochote kuhus freemasons
Hayo mawazo uliyonayo wanayo watanzania 5/100.Watu bongo wanapigwa sana kwa kukosa maarifa
Hizi secret cults (kama zipo) hazifanyi huu ujinga wa kujipiga piga picha ovyo, naona siku izi insta eti watu Wanapewa maburungutu ya hela eti nendeni mzitumie vizuri msivunje masharti, kiufupi Kuna wajinga wanatafutwa wapigwe, na ndo maana kina chief goodlove hawakosi hela ya kula maana wanawapiga sana wajinga
Lo huyo ninani kwani????
Utapeli huoHizo secret societies mbona wanasema znaficha sana mambo yao .
Sasa hapo mbona waziwazi kabisa
Hamna kitu hapo
Tena utapeli wa kishambaUtapeli huo
Sio kweli bhana, Tena almost wote huwaga wapo smart sana upstairskwanini fil mason hawachanagi nywele
Kuna mmoja Yuko A town, anapigwa miti Kila Ijumaa na Jumanne jua linapozama. Yuko vizuri Hela anayo japo Hana uhuru nayo.
Kiki ya kipuuzi tu.Inaoneka hawa wa tanzania hawana ela