bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Kwa hio ametoa sadaka bufa lake🔊Kuna mmoja Yuko A town, anapigwa miti Kila Ijumaa na Jumanne jua linapozama. Yuko vizuri Hela anayo japo Hana uhuru nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio ametoa sadaka bufa lake🔊Kuna mmoja Yuko A town, anapigwa miti Kila Ijumaa na Jumanne jua linapozama. Yuko vizuri Hela anayo japo Hana uhuru nayo.
Wote hawa matapeli tuAnother (former)
View attachment 2984777
Na wewe ingia kwani umekatazwa?View attachment 2984768
Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
Hakuna lolote hao wanaigiza tu kupata kiki. Hututafuti bali tunakutafuta wenyewe.View attachment 2984768
Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
Halafu hawa Masons mbona huwa wanavaa visketi fulani mbele vina kama kibahasha vile vya barua za zamani? Huwa wanataka kutuma barua kwa nani?Another (former)
View attachment 2984777
Kumbe ndo maana machoko wamekuwa wengi sana mjini.Kuna mmoja Yuko A town, anapigwa miti Kila Ijumaa na Jumanne jua linapozama. Yuko vizuri Hela anayo japo Hana uhuru nayo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hili ni igizo kabisaaa ,,, ukiachilia mbali Mr Nice... Huyo jamaa mwingine namfahamu vizuri mnooo.... Tisa kumi kuna mtu alishawahi hadi kuanzisha thread juu ya huyu jamaa... Sipendi nifungue code sanaa nisije kuharibia watu ugali wao... Lakini niseme tu hapo Mr katumika kama chambo kuvutia wengine...Another (former)
View attachment 2984777
Hapa ndipo umeongeaWatu wengi wakarimu, wacheshi nk mbele za watu ni wachafu wazuri sana.
Kwenye jopo la waliokuwa wanamfuatilia ulikuwemo?Ilimchukuwa someone two years under surveillance 24/7 ..365/ 365Ă—2 ndo akapewa umember wa Freemasonry.
Unamaanisha Wajenzi huru wanatumia PARKER pen.Kiki tu hapo, wajenzi huru wanatumia biki za obama (Mia Mia 2) ku sign mikataba ya utajiri?
Wamekosa hata elfu 20 kununua presidential PEN!
Ni nani??View attachment 2984768
Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
Apigwa miti na nani?Kuna mmoja Yuko A town, anapigwa miti Kila Ijumaa na Jumanne jua linapozama. Yuko vizuri Hela anayo japo Hana uhuru nayo.
Bullshit.View attachment 2984768
Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
Sasa kama hujui chochote kwa nini unawazungumzia?ata ukipita pale posta kweny lodge yao utaona...... niliona kuna magari yamepack ya kawaid Sana mule ndan na yamechoka mfn harrier old model na niliona jamaa anatokea mule ndan wa kawaid Sana sas nahis hatujui chochote kuhus freemasons