Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hili ni igizo kabisaaa ,,, ukiachilia mbali Mr Nice... Huyo jamaa mwingine namfahamu vizuri mnooo.... Tisa kumi kuna mtu alishawahi hadi kuanzisha thread juu ya huyu jamaa... Sipendi nifungue code sanaa nisije kuharibia watu ugali wao... Lakini niseme tu hapo Mr katumika kama chambo kuvutia wengine...
 
Watu wengi wakarimu, wacheshi nk mbele za watu ni wachafu wazuri sana.
Hapa ndipo umeongea
Watu wachafu na hatari zaidi hujificha nyuma ya wema kwenye jamii.

Nilielewa hili somo nilipokuwa nasoma vitabu vya ujasusi'
 
Kuna maboya yanatafutwa hapo.
#hiyo #hela #tuma #kwenye #namba #hii.
 
ata ukipita pale posta kweny lodge yao utaona...... niliona kuna magari yamepack ya kawaid Sana mule ndan na yamechoka mfn harrier old model na niliona jamaa anatokea mule ndan wa kawaid Sana sas nahis hatujui chochote kuhus freemasons
Sasa kama hujui chochote kwa nini unawazungumzia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…