Huyu Don ni nani?

Huyu Don ni nani?

Si wicknell huyo jombaa, tajiri sana zimbambwe
Wicknell kijana mmoja aliezaliwa katika hali ya umasikini amesoma na kuacha shule akiwa form 2 kisha kuingia mtaani na kuanza kuchuuza machinga mama yake akiwa mfanyabiashara wa kuvusha bidhaa kutoka SA to Zimbabwe

Wicknell alikua na tabia ya wiziwizi hii ni kwa mujibu ya wale aliosoma nao shule moja toka shule ya msingi mpaka sekondari, kijana Wicknell ameshafikishwa sana mahakamani kwa kesi za kuibia makampuni ila cha ajabu kesi nyingi amekua akishinda na kutokomea na pesa hizo bila kufanywa chochote
 
Wicknell kijana mmoja aliezaliwa katika hali ya umasikini amesoma na kuacha shule akiwa form 2 kisha kuingia mtaani na kuanza kuchuuza machinga mama yake akiwa mfanyabiashara wa kuvusha bidhaa kutoka SA to Zimbabwe

Wicknell alikua na tabia ya wiziwizi hii ni kwa mujibu ya wale aliosoma nao shule moja toka shule ya msingi mpaka sekondari, kijana Wicknell ameshafikishwa sana mahakamani kwa kesi za kuibia makampuni ila cha ajabu kesi nyingi amekua akishinda na kutokomea na pesa hizo bila kufanywa chochote
Sawa na huyu tu

Screenshot_20250130_204234_Lite.jpg
 
Back
Top Bottom