PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hahah.. Mkuu uko sahihi nimesoma na jamaa walikuwa na majina km haya Hassan na Huseni primary ni wazaramo mapacha lkn hatukuwahi kuwaita kulwa na dotomapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein
Mimi sio mzaramo mkuu nitake radhi mama angu ndo mzaramo.LIKUD nimekulia na kusoma kinondoni na huyu dotto namfahamu Hadi nyumbani kwao pale kinondoni Muslim mtaa wa Brazil..
Dotto alikuwa Pacha na ndugu yake aliyefariki akiwa mdogo pia dotto alikuwa Teja na mpiga Debe pale kituo cha kinondoni - posta.
Amevuta unga na kuuza unga Kwa miaka mingi Sana na Toka zamani kipindi yupo kwenye madawa alikuwa machachari hivyohivyo unavyomuona , kipindi hicho alikuwa anajiita MSEVENI hili jina linajulikana Sana ukifika pale mitaa ya wibu,sekenke,Togo na ufipa Hadi kinondoni shamba..shule ya msingi kasoma hananasif na huyu mzaramo mwenzako wala usimkatae
Kwa kipindi kile hapana Ila sijui Kwa sasa yukoje kwasababu ni muda mrefu nimehama kinondoniMimi sio mzaramo mkuu nitake radhi mama angu ndo mzaramo.
hana kashfa ya kuliwa kweli?
Dotto muaminifu? 😂😂😂😂😂Yule kwel mtoto wa kinondoni kwel kazaliwa na kusoma hapo hapo ila jamaa silaha yake kuu ni UAMINIFU ndo imemfikisha pale
Mimi sio mzaramo mkuu nitake radhi mama angu ndo mzaramo.
hana kashfa ya kuliwa kweli?
Labda mama yake ndio mnyamwezi!Hahah.. Mkuu uko sahihi nimesoma na jamaa walikuwa na majina km haya Hassan na Huseni primary ni wazaramo mapacha lkn hatukuwahi kuwaita kulwa na doto
au we ndo T.I.D😁😁1. Anasema yeye ndo anaibeba Kinondoni lakini Kinondoni yenyewe imeanza kumjua baada ya kuanza kuuza sura instagram. ( He doesn't look familiar)
2. Anajiita mzaramo halafu anaitwa " Dotto" since when Mzaramo akaitwa Dotto. Mama angu ni mzaramo wa Malui (Kisarawe rural: Ukiwa Msanga sokoni unaiacha njia ya kwenda Chole unakata kushoto) sijawahi kusikia mzaramo anaitwa Dotto.
Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi
3. Anaongea sana kama mtoto wa jinsia pendwa. He claims to be from Kinondoni but he doesn't talk 'according to Kinondoni'. Watoto wa Kino hawaongei kama anavyo ongea yeye. " something is missing in him" (elewa vizuri maana ya " na " kama zilivyo tumika kwenye sentensi tajwa hapo juu)
# Dotto Magari!!! Do u tell me what I think ur telling me?
Time will tell.