Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?

LIKUD nimekulia na kusoma kinondoni na huyu dotto namfahamu Hadi nyumbani kwao pale kinondoni Muslim mtaa wa Brazil..
Dotto alikuwa Pacha na ndugu yake aliyefariki akiwa mdogo pia dotto alikuwa Teja na mpiga Debe pale kituo cha kinondoni - posta.

Amevuta unga na kuuza unga Kwa miaka mingi Sana na Toka zamani kipindi yupo kwenye madawa alikuwa machachari hivyohivyo unavyomuona , kipindi hicho alikuwa anajiita MSEVENI hili jina linajulikana Sana ukifika pale mitaa ya wibu,sekenke,Togo na ufipa Hadi kinondoni shamba..shule ya msingi kasoma hananasif na huyu mzaramo mwenzako wala usimkatae
 
LIKUD nimekulia na kusoma kinondoni na huyu dotto namfahamu Hadi nyumbani kwao pale kinondoni Muslim mtaa wa Brazil..
Dotto alikuwa Pacha na ndugu yake aliyefariki akiwa mdogo pia dotto alikuwa Teja na mpiga Debe pale kituo cha kinondoni - posta.

Amevuta unga na kuuza unga Kwa miaka mingi Sana na Toka zamani kipindi yupo kwenye madawa alikuwa machachari hivyohivyo unavyomuona , kipindi hicho alikuwa anajiita MSEVENI hili jina linajulikana Sana ukifika pale mitaa ya wibu,sekenke,Togo na ufipa Hadi kinondoni shamba..shule ya msingi kasoma hananasif na huyu mzaramo mwenzako wala usimkatae
Mimi sio mzaramo mkuu nitake radhi mama angu ndo mzaramo.

hana kashfa ya kuliwa kweli?
 
1. Anasema yeye ndo anaibeba Kinondoni lakini Kinondoni yenyewe imeanza kumjua baada ya kuanza kuuza sura instagram. ( He doesn't look familiar)

2. Anajiita mzaramo halafu anaitwa " Dotto" since when Mzaramo akaitwa Dotto. Mama angu ni mzaramo wa Malui (Kisarawe rural: Ukiwa Msanga sokoni unaiacha njia ya kwenda Chole unakata kushoto) sijawahi kusikia mzaramo anaitwa Dotto.

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi

3. Anaongea sana kama mtoto wa jinsia pendwa. He claims to be from Kinondoni but he doesn't talk 'according to Kinondoni'. Watoto wa Kino hawaongei kama anavyo ongea yeye. " something is missing in him" (elewa vizuri maana ya " na " kama zilivyo tumika kwenye sentensi tajwa hapo juu)

# Dotto Magari!!! Do u tell me what I think ur telling me?

Time will tell.
au we ndo T.I.D😁😁
 
Back
Top Bottom