Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?


Daaah amepitia magumu sana acha apige MAOKOTO anastahili.
 
Sasa hivi uwizi kaacha?sema sura na wenge la uteja bado analo
 
Cha muhimu anakusanya maokoto "maisha yanaendelea"...
 
1.Kwani wanaoishi kinondoni wote unawajua ??
2.Sasa leo ndo utajua kumbe uzaramuni kuna Doto kama hutaki basi nawe jiite Kurwa
3.Jinsia pendwa ndo ipi ??? we nenda ukajue kama ni jinsia pendwa au vipi ??
Tuache ubangubangu haitusaidii kitu
 
1.Kwani wanaoishi kinondoni wote unawajua ??
2.Sasa leo ndo utajua kumbe uzaramuni kuna Doto kama hutaki basi nawe jiite Kurwa
3.Jinsia pendwa ndo ipi ??? we nenda ukajue kama ni jinsia pendwa au vipi ??
Tuache ubangubangu haitusaidii kitu
Mimi mzaramo tipikali, na nina kaka yangu anaitwa kurwa,, nilichokiona kwa jamaa huyu mleta uzi wivu na roho mbaya tu ndo imemjaa,, doto alwatan kino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…