Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?

Kuna miaka fulani nlikuwa na coaster route ya posta mwananyamala alinioigia sana debe,alikuwa msumbufu sana,uwizi,uteja
Haya mambo ya uchawa upambe alikuja kuingia alipoingia kwenye udalali wa magari pale nyuma ya mwanamboka na si unajua jamaa anaongea sana kwa hiyo wakina sawe na mapedeshe wengine wakawa wanapenda kampani yake
Ila dotto alikuwa kama mnyama teja,anakaba nk
Kuna wakati alikula kipondo nusu ya kufa aise
Ila all in all watu wanabadilika aise,na alipo3nda jela tu ndy unga akauacha
Wenzie wengi walishatangulizwa mbele ya haki

Ova

Daaah amepitia magumu sana acha apige MAOKOTO anastahili.
 
Kuna miaka fulani nlikuwa na coaster route ya posta mwananyamala alinioigia sana debe,alikuwa msumbufu sana,uwizi,uteja
Haya mambo ya uchawa upambe alikuja kuingia alipoingia kwenye udalali wa magari pale nyuma ya mwanamboka na si unajua jamaa anaongea sana kwa hiyo wakina sawe na mapedeshe wengine wakawa wanapenda kampani yake
Ila dotto alikuwa kama mnyama teja,anakaba nk
Kuna wakati alikula kipondo nusu ya kufa aise
Ila all in all watu wanabadilika aise,na alipo3nda jela tu ndy unga akauacha
Wenzie wengi walishatangulizwa mbele ya haki

Ova
Sasa hivi uwizi kaacha?sema sura na wenge la uteja bado analo
 
1. Anasema yeye ndo anaibeba Kinondoni lakini Kinondoni yenyewe imeanza kumjua baada ya kuanza kuuza sura instagram. ( He doesn't look familiar)

2. Anajiita mzaramo halafu anaitwa " Dotto" since when Mzaramo akaitwa Dotto. Mama angu ni mzaramo wa Malui (Kisarawe rural: Ukiwa Msanga sokoni unaiacha njia ya kwenda Chole unakata kushoto) sijawahi kusikia mzaramo anaitwa Dotto.

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi

3. Anaongea sana kama mtoto wa jinsia pendwa. He claims to be from Kinondoni but he doesn't talk 'according to Kinondoni'. Watoto wa Kino hawaongei kama anavyo ongea yeye. " something is missing in him" (elewa vizuri maana ya " na " kama zilivyo tumika kwenye sentensi tajwa hapo juu)

# Dotto Magari!!! Do u tell me what I think ur telling me?

Time will tell.

Cha muhimu anakusanya maokoto "maisha yanaendelea"...
 
1.Kwani wanaoishi kinondoni wote unawajua ??
2.Sasa leo ndo utajua kumbe uzaramuni kuna Doto kama hutaki basi nawe jiite Kurwa
3.Jinsia pendwa ndo ipi ??? we nenda ukajue kama ni jinsia pendwa au vipi ??
Tuache ubangubangu haitusaidii kitu
. Anasema yeye ndo anaibeba Kinondoni lakini Kinondoni yenyewe imeanza kumjua baada ya kuanza kuuza sura instagram. ( He doesn't look familiar)

2. Anajiita mzaramo halafu anaitwa " Dotto" since when Mzaramo akaitwa Dotto. Mama angu ni mzaramo wa Malui (Kisarawe rural: Ukiwa Msanga sokoni unaiacha njia ya kwenda Chole unakata kushoto) sijawahi kusikia mzaramo anaitwa Dotto.

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi

3. Anaongea sana kama mtoto wa jinsia pendwa. He claims to be from Kinondoni but he doesn't talk 'according to Kinondoni'. Watoto wa Kino hawaongei kama anavyo ongea yeye. " something is missing in him" (elewa vizuri maana ya " na " kama zilivyo tumika kwenye sentensi tajwa hapo juu)

# Dotto Magari!!! Do u tell me what I think ur telling me?

Time will tell.

 
1.Kwani wanaoishi kinondoni wote unawajua ??
2.Sasa leo ndo utajua kumbe uzaramuni kuna Doto kama hutaki basi nawe jiite Kurwa
3.Jinsia pendwa ndo ipi ??? we nenda ukajue kama ni jinsia pendwa au vipi ??
Tuache ubangubangu haitusaidii kitu
Mimi mzaramo tipikali, na nina kaka yangu anaitwa kurwa,, nilichokiona kwa jamaa huyu mleta uzi wivu na roho mbaya tu ndo imemjaa,, doto alwatan kino
 
Back
Top Bottom