GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nitafurahi sana mkuu, uandishi wako na paskali nimeupenda. Ni kwa mazuri tuu nataka tuonane
Nimekuelewa sana ndugu, hata Mimi nimepokea kashfa kuhusu Uzi huu na nashukuru kuja humu ujue natamani sana uandishi wako na kama binadamu naamini ipo siku tutakutana. Pia humu kuna watu wakiona unataka umwone member mwenzio wanajua una nia mbaya.Soma post yangu # 56 nimewajibu ' Wapuuzi ' wote na labda nikupe tu pole Wewe Mkuu kwa kuanzisha ' uzi ' wa Kunisifia na Kunikubali ambao kuna Watu wenye chuki, wivu na husuda na uwepo wangu humu na hii ID wamekasirika na kudhani kuwa Mimi ni Wewe na kwamba nimejianzishia mwenyewe huu uzi.
Na nimewataka Moderators na Wamiliki wa JamiiForums wafanye ' Uchunguzi ' wao wote na kama ikiwa ni kweli kwamba Mimi ndiyo mwenye hii ID basi nawaruhusu upesi sana wanifute Mimi kuwepo humu Jamvini Kwao milele daima. Nimechoka kuzushiwa kila uchao kuhusu Multiple ID's na labda nikuambie tu kwamba kama ungeanzisha huu uzi wako na kunisema au kunizungumzia Mimi vibaya hizo hisia za kwamba Wewe ndiyo Mimi na nimejianzishia uzi usingezisikia. Nyota yangu inawatesa mno Watu na ndiyo maana nawaambia kuwa GENTAMYCINE ni ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
Maneno kuntu mkuu, watakubalikaje ilihali hawaonekaniNawaomba Moderators na Wamiliki wa JamiiForums fanyeni ' Utaalam ' wenu wote mnaoujua na kama ikiwa ni kweli Mimi GENTAMYCINE nina hii ID na nimejianzishia huu ' uzi ' mnifungie ' permanently ' Mimi kuwepo humu Jamvini. Halafu ifike muda Watu muache chuki na uswahili uliotawaliwa na Wivu kwa kudhani kuwa Mtu yoyote anayeuliziwa humu basi anajipigia ' Promo '. GENTAMYCINE sina haja ya Kujipigia ' Promo ' kwani Mimi tayari ni ' Promo ' tosha na ni maudhui yangu na uandishi wangu humu ambao mara nyingi huwa nauchanganya na ' ukomedi ' wangu wa asili ndiyo huwavutia Watu wengi hadi kupelekea Wao Kunipenda, Kunikubali na wengine kila Uchao ' Kunifolo '.
Na ndiyo maana hata Signature yangu tu inamajibu ya kutosha Kwenu ' Wanafiki ' wote inayosema ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
Aliyebarikiwa kabarikiwa tu halafu ' Nyota ' ya Mtu inayong'aa kila Kukicha huwezi kuizima hata ufanyeje na msinichukie Mimi kuwa Kipenzi cha Members wengi hivi bali jiulizeni nyie ' mnaonichukia ' na kusema huu ' uzi ' nimejianzishia mwenyewe kwamba kwanini hamkubaliki kama GENTAMYCINE huku wengine mkiwa na muda mrefu humu JamiiForums kuliko Mimi niliyejiunga rasmi humu mwaka 2013.
Na kwa taarifa yenu tu ni kwamba kadri mnavyozidi ' Kunichukia ' na kunionea ' Kijicho ' humu ndiyo mnazidi kunifanya niwe ' maarufu ' na niwe mbunifu wa kuja na mada mbalimbali motomoto ambazo zinazidi kunifanya niwe tofauti na nyie. Waswahili ni Waswahili tu siku zote.
Wamekuelewa mkuuNawaomba Moderators na Wamiliki wa JamiiForums fanyeni ' Utaalam ' wenu wote mnaoujua na kama ikiwa ni kweli Mimi GENTAMYCINE nina hii ID na nimejianzishia huu ' uzi ' mnifungie ' permanently ' Mimi kuwepo humu Jamvini. Halafu ifike muda Watu muache chuki na uswahili uliotawaliwa na Wivu kwa kudhani kuwa Mtu yoyote anayeuliziwa humu basi anajipigia ' Promo '. GENTAMYCINE sina haja ya Kujipigia ' Promo ' kwani Mimi tayari ni ' Promo ' tosha na ni maudhui yangu na uandishi wangu humu ambao mara nyingi huwa nauchanganya na ' ukomedi ' wangu wa asili ndiyo huwavutia Watu wengi hadi kupelekea Wao Kunipenda, Kunikubali na wengine kila Uchao ' Kunifolo '.
Na ndiyo maana hata Signature yangu tu inamajibu ya kutosha Kwenu ' Wanafiki ' wote inayosema ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
Aliyebarikiwa kabarikiwa tu halafu ' Nyota ' ya Mtu inayong'aa kila Kukicha huwezi kuizima hata ufanyeje na msinichukie Mimi kuwa Kipenzi cha Members wengi hivi bali jiulizeni nyie ' mnaonichukia ' na kusema huu ' uzi ' nimejianzishia mwenyewe kwamba kwanini hamkubaliki kama GENTAMYCINE huku wengine mkiwa na muda mrefu humu JamiiForums kuliko Mimi niliyejiunga rasmi humu mwaka 2013.
Na kwa taarifa yenu tu ni kwamba kadri mnavyozidi ' Kunichukia ' na kunionea ' Kijicho ' humu ndiyo mnazidi kunifanya niwe ' maarufu ' na niwe mbunifu wa kuja na mada mbalimbali motomoto ambazo zinazidi kunifanya niwe tofauti na nyie. Waswahili ni Waswahili tu siku zote.
Nimekuelewa sana ndugu, hata Mimi nimepokea kashfa kuhusu Uzi huu na nashukuru kuja humu ujue natamani sana uandishi wako na kama binadamu naamini ipo siku tutakutana. Pia humu kuna watu wakiona unataka umwone member mwenzio wanajua una nia mbaya.
Asante kuupenda uandishi wangu, hata mimi GENTAMYCINE namkubali sana.Nitafurahi sana mkuu, uandishi wako na paskali nimeupenda. Ni kwa mazuri tuu nataka tuonane
Asante kwa ufafanuzi mujarabuUsijali Mkuu na utawazoea tu kama ambavyo Mimi nimewazoea. Siku zote Mti wenye matunda mazuri ndiyo hupigwa sana mawe. Labda kujibu tu maswali yako ni kwamba Kwanza kabisa sipo huko TISS kama ambavyo umehisi na ninavyojijua mwenyewe sina hata sifa ya chembe ya Mimi kuwa huko na wenyewe Watu wa TISS wanalijua hilo.
Kwenye suala Habari na Mawasiliano na Mimi kupenda sana ' Kujichanganya ' na ' Kutafiti ' masuala mbalimbali ya Kidunia na kufanya ' analysis ' umepatia kwa 100%. Nadhani nitakuwa nimejibu maswali yako Mkuu.
Akhsante na karibu sana.
Sawa nguli wa JF, big up
go take ur time dude....maneno mengi point ziro, hakuna asokujua humuSoma post yangu # 56 nimewajibu ' Wapuuzi ' wote na labda nikupe tu pole Wewe Mkuu kwa kuanzisha ' uzi ' wa Kunisifia na Kunikubali ambao kuna Watu wenye chuki, wivu na husuda na uwepo wangu humu na hii ID wamekasirika na kudhani kuwa Mimi ni Wewe na kwamba nimejianzishia mwenyewe huu uzi.
Na nimewataka Moderators na Wamiliki wa JamiiForums wafanye ' Uchunguzi ' wao wote na kama ikiwa ni kweli kwamba Mimi ndiyo mwenye hii ID basi nawaruhusu upesi sana wanifute Mimi kuwepo humu Jamvini Kwao milele daima. Nimechoka kuzushiwa kila uchao kuhusu Multiple ID's na labda nikuambie tu kwamba kama ungeanzisha huu uzi wako na kunisema au kunizungumzia Mimi vibaya hizo hisia za kwamba Wewe ndiyo Mimi na nimejianzishia uzi usingezisikia. Nyota yangu inawatesa mno Watu na ndiyo maana nawaambia kuwa GENTAMYCINE ni ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
Huyu ‘ Kamaradi ' mtu hatari sana mkuu..!Nampendaga tu GENTAMYCINE kipindi nafatilia jf kama guest kwenye jukwaa la entertainment alielezea kuhusu ushirikina wa wanamuziki wa Congo marehemu pepe kale na kina jb na wengine daah natamani siku aelezee tena ndio nikawa shabiki wa post zake
Hana tofauti na le tumbozzpopoma aka kilaza limeona bora lijitungie thread. hili jamaa licha ya kwamba kiumri ni above 30, lina utoto mwingi sana.
lipuuzeni.
Teh teh teh kama kuna ukweli fulani vile.ni ndugu moja na james delicious
Kweli mkuuHuyu ‘ Kamaradi ' mtu hatari sana mkuu..!