Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha unafki[emoji350] [emoji350] [emoji350]Audio imeshavuja tumeburudika sasa mtajijua wenyewe na kujaribu kusafishana.
Kurudi hapana aiseeeeeee
Tunajua ni ukweli, hata mlipe pesa ndefu na kutekodiana wengine hatudanganyiki.
INASEMEKANA ALIYEIGIZA SAUTI YA WEMA NDO HUYU RAFIKI YAKE MPOKI
Audio imeshavuja tumeburudika sasa mtajijua wenyewe na kujaribu kusafishana.
Kurudi hapana aiseeeeeee
Tunajua ni ukweli, hata mlipe pesa ndefu na kutekodiana wengine hatudanganyiki.
Tayari wamefahamika , tunafuatilia kiasi walicholipwa tu .Watajulikana wote hawa makahaba.
We hutaki kuamini kwamba Mwenyekiti wako ni mzinifu or?mbona ni voice tena. kwa nini isiwe live?
Mbowe hasafishiki kwa uzinzi huu. Hapo ndipo ninapozipendaga "Sharia laws" wazinifu wawili, kugongwa mawe hadi kudanja!Muda mwingine muwe mna apply hii theory ya Spiral of Silence kwani mtaepuka na mengi na mtakuwa safe sana tu. Kwa Mtu aliye na akili timamu kabisa kama kaisikiliza hiyo Voice Note hatochelewa kugundua kuwa hizo Sauti zote mbili siyo za Wema Sepetu wala Freeman Mbowe.
Muigizaji alichopatia tu ni katika kuigiza Sauti ya Wema Sepetu ila kwa sauti ya Freeman Mbowe ameikosea tena vibaya mno kwani Voice Code ya Freeman Mbowe ni ya Kipekee sana na ukiisikiliza vizuri sana utasikia jinsi huyo Popoma muigizaji anavyohangaika kuiiga.
Na sehemu ambayo imemuumbua vilivyo Muigizaji Popoma wa sauti ya Freeman Mbowe ni pale alipokuwa akihangaika na Kiingereza chake cha Ras Simba cha kubabaika na kuchapia wakati hakuna asiyejua kuwa Freeman Mbowe naturally ni Wordsmith ( ametukuka kwa kukijua vizuri sana Kiingereza )
Personally sijaona haja ya Wema Sepetu kuhangaika kufanya counter kwa kujibu huu Upupu / Upuuzi na hapa ndipo unaonekana sasa kwa Watanzania ifike muda sasa kama unajua Wewe ni Public Figure au Celeb basi uhakikishe unakuwa na Communication Expert wako / Spokesperson wako ambaye atakuwa anakusaidia katika kukabili majaribu ya Kimawasiliano kama haya.
Hiyo Spiral of Silence Theory ni nzuri sana hasa ukijua jinsi ya kuitumia na wakati gani otherwise na Wewe ukiwa ni Mwepesi wa Kuhamaki na kutaka kukimbia katika Media kujibu nawe pia utaonekana ni mmoja wa wale wale Wapumbavu / wa hovyo hovyo kama wale waliokukosea / kukuzushia.
Mwisho nimshauri tu Freeman Mbowe kuwa asipoteze muda kuliongelea au kulijibia hili na badala yake aendelee zake tu kuchapa Kazi na kuhakikisha Maziko ya Mzee wao wa CHADEMA Philemon Ndesamburo Kesho anapumzishwa vizuri katika nyumba yake ya milele. Mbowe na Yeye akilijibu au hata kuligusia hili nitaanza Kumdharau na kumuondoa kabisa katika list yangu ya Wanasiasa ninaowaheshimu kabisa hapa nchini Tanzania.
Yangu ni hayo tu.
Mkuu ni wewe ulieigiza ???hakuna kitu cha kishoga au kimalaya kama kujaribu kuwatetea watu wazima, waliokubaliana kufanya mapenzi kwa starehe zao
kwani mnaomtetea mbowe kila akitaka kulala na mwanamke huwa mnamfungulia zipu?
yule mbowe, yule wema
sijaona threat ya mbowe kwa sasa kiasi cha kuzushiwa vile
Kuna wakati hata ukiwa na pumzi yakutosha kukimbia marathon Jaribu kusoma mazingira yatakayo kufanya uimalize mbioUmbumbumbu wa Watanzania ndii MTAJI wa CCM