Wazazi wake ni Kenya Baba na Mama Ni Tanzania
Sasa Mama akiwa muhindi wa Tanganyika na Baba muhindi wa kenya ambao wote walihamia uingereza miaka ya 1960 na jamaa kazaliwa uingereza yaani mkiitaja Tanzania ambayo inakataa uraia pacha kwa raia wake inasaidia nini? Au kuitaja kenya kutasaidia nini? Kama sio utumwa wa fikra mchana kweupe? Jamaa ni muingereza story za mara Tanganyika mara kenya mnabaki nazo wenyewe kamwe hatonufaisha hizi nchi kwa lolote afadhali ungesema hata India kwenye roots zake vizazi na vizazi lakini sio tofauti