Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Wewe ndio pimbii haswa hao ni watanzania kwenye makatasi tu na wakienda nje wanajulikana ni wahindi. Na kwa kukazia hao ulowataja wote wana passport mbili mbili za Tz na Canada/USA/UK...acha upimbi hao sio wenzako .Acha uboya kina Dewji familia yao ilihamia hapa miaka ya 1800's kutoka Gujarati, vivo hivo kina Karimjee. Sasa utasemaje leo kina Mwamedi Dewji sio watanzania wakati wamezaliwa hapa na wengekua hawana pesa hata India wasingewai fika!