The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Angekua Bongo angeambiwa wewe ni Muhindi na kwenu ni India ila kwa vile yupo UK na kapata cheo tunamuona ni mwenzetu..! Maajabu haya.Angekuwa yupo tz saa hizi ana duka kariakoo pale. Kuna sehemu kuwepo ni fursa kubwa, chama angezaliwa spain asingekuja kucheza soka tz
🤣🤣🤣🤣