Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Umeelewa alichoandika lakini? ukitafasiri kwa kiswani nitakunya wiki nzima bila kupumzikaNdugu zangu Watanzania,View attachment 3101067
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
sawa tumeonaNdugu zangu Watanzania,View attachment 3101067
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sahivi amekatwa mikono hana namnaTuwe makini na January Makamba yuko kimya sana usikute anatafuta mteja wa kumuuzia mlima kilimanjaro
Kwani kuna uchaguzi wa nini hadi useme namuombea kura.Unamuombea Kura?
Mtu kuridhika. Hakuna mtu yoyote aliezaliwa tu akapewa barua ya kwamba wewe unaenda kuongoza wenzioTuwe makini na January Makamba yuko kimya sana usikute anatafuta mteja wa kumuuzia mlima kilimanjaro
Wewe ndiye ungeomba Msaada wa kutafsiriwa dogo😀😀😀Umeelewa alichoandika lakini? ukitafasiri kwa kiswani nitakunya wiki nzima bila kupumzika
Ndiyo naomba tafasiri sasa maana sijaelewa alichoandika JanuaryWewe ndiye ungeomba Msaada wa kutafsiriwa dogo😀😀😀
Umeelewa Alichokiandika lakini ndugu yangu😀😀😀 au nikufafanulie hicho kizungu .Dah sasa Comrade mbona picha na uzi havina uhusiano?
😀😀😀Nilijuwa tu huwezi kuelewa kitu chochote kile .maana wewe ni 0 kichwani😀😀Ndiyo naomba tafasiri sasa maana sijaelewa alichoandika January
Toto la Tajiri.Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3101067
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anaonyesha mfano mzuri na upendo kama Baba kwa mwanae na kumsaidia kutimiza malengo yake.Kukosa kazi bhanaaa 🤣🤣🤣
Mahela anayo kwanini asiwape vijana wakapata riziki ?
Acha dharau wewe😀😀mimi nakijuwa vizuri sana kizungu.Mleta mada haelewi hata hiyo lugha,
Si ndiyo naomba unisaidie nielewe😀😀😀Nilijuwa tu huwezi kuelewa kitu chochote kile .maana wewe ni 0 kichwani😀😀
Yeye kaandika ujinga wake tofauti na alichoandika Makamba, nimemwambia atafasiri kwa kiswahili, akiweza nitajinyea wiki nzima mfululizo bila kukoma.Mleta mada haelewi hata hiyo lugha,